phytosciencee_stemcell

phytosciencee_stemcell

Share

Bidhaa ya stemcell phytoscience, tecknolojia mpya ya matibabu.

15/01/2023

Stemcell products ni kiboko KWA matatizo yote ya moyo ,,KWA msaada zaidi piga 0764-134636 upate suluhisho la tatizo lako.

22/12/2022
22/12/2022

Call +255764134636

15/12/2022

Piga 0764-134636

13/12/2022

KWA msaada zaid piga 0764-134636 upate matokeo chanya

05/12/2022

DETOXIFICATION PROGRAM KWA KUTUMIA STEM CELLS

VYANZO VYA SUMU
A. Sumu itokanayo na shughuli za kimetaboli za Mwili na kusababisha free radicals ambazo huathiri mwili

B. Sumu itokanayo na Mazingira ya nje ya mwili k**a;

1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

Baadhi ya Dalili za Sumu nyingi Mwilini
1.Uzito mkubwa na Haupungui kirahisi (Ukipungua Unarudi tena Haraka)
2.Kuchoka sana bila sababu ya msingi
3.Kukosa Usingizi (Stress hasa Usiku)
4.Kushuka Uwezo Wa Kufikiri
5.Maumivu Ya Kichwa Mara Kwa Mara.
6. Kuwa na Mood mbaya Mara Kwa Mara (Kukasirika Haraka)
7. Harufu mbaya mwilini, kinywani,pumzi na kwenye haja kubwa.
8. Kupata Gesi na Choo Kigumu au Kukosa Choo kabisa Kwa Siku Kadhaa
9.Maumivu makali ya Misuli
10. Ngozi Kukosa Nuru
11. Kuwa Sensitive sana na Harufu na Kuhisi Harufu nyingi zinakuumiza
12. Kuwa na Hamu kubwa ya Vyakula hasa vyenye Mafuta Mengi, Sukari/Chumvi Nyingi.
13. Kubadilika kwa rangi ya ngozi, au ulimi au mkojo kuwa na unjano.

MADHARA kadhaa ya Sumu mwilini

1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2.Magonjwa ya figo
3.Magonjwa ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya pressure
7.Mvurugiko wa homoni

KWA KUTUMIA SNOWPHYLLFORTE UNAWEZA KUFANYA PROGRAM YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KALORI ZA ZIADA.

STEMCELLS ZINAPATIKANA KWA PACKAGES
BIDHAA ZETU NI

DOUBLE STEMCELL, CRYSTALCELL, SNOWPHILLFORTY

Kupona Ni Miezi Mitatu Mpaka Sita

Kwa taarifa zaid

Instagram:
Call/WhatsApp +255764-134636

Okoa maisha na StemCell






# International trade

03/12/2022

FAHAMU ZAIDI KUHUSU TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO

Figo Hufanya Kazi Ya Kuchuja Damu Huku Ikiondoa Sumu Zote Za Mwili, Pia Kurekebisha Kiasi Cha Maji Mwilini( Electrolyte Level).
Kabla Damu Haijapita Katika Figo, Huwa Imebeba Maji Na Takataka Nyingi Sana(Urea)
Lakini Inapopita Katika Figo Huchujwa Na Vitu Muhimu Hurudishwa Katika Mzunguko Wa Damu Lakini, Masalia Mengine Ambayo Hayafai Tena Katika Mwili Ikiwa Ni Pamoja Na Kiwango Cha Maji Kilichozidi Hupitishwa Kwenye Mirija Miwili(Ureters) Kuelekea Kwenye Kibofu (Urinary Bladder) Na Kisha Kutolewa Nje Ya Mwili Kupitia Njia Ya Mkojo(Urethra).

Mkusanyiko Wa Kemikali Hizi(Chemical Crystals), Wakati Mwingine Hugandamana Na Kutengeneza Chembechembe Ya Vitu K**a Mchanga, Na Vinavyozidi Kukua Hadi Wengine Hufikia Hatua Ya Kuziba Njia Ya Mkojo. Mawe Yanaweza Kutengenezwa Ndani Ya Figo (Nephrolithiasis) Au Kwenye Kibofu Cha Mkojo (Bladder Lithiasis).

VICHOCHEO VYA MAWE YA FIGO
¶Kutokunywa Maji Ya Kutosha.
¶Kurithi
¶Vyakula Vyenye Nyama, Sodiam, Oxalate Na Maziwa Mengi Na Kukosa Mboga Na Matunda.
¶Watu Wanaoishi Sehemu Kavu/Kame Zenye Joto Jingi.
¶Kulala Muda Mrefu (Bed Ridden/ Immobile).
¶Maambukizi Ya Njia Ya Mkojo Ya Mara Kwa Mara.
¶Magonjwa K**a Ya Tezi Dundundio(Thyroid), Jongo,na Mengine Kutokana Na Kasoro Katika Uvunjaji Wa Kemikali Mwilini.
¶Matumizi Ya Dawa K**a Vile Za Kukojoa Au Za Kuzuia Asidi(diuretics Na Antiacids).

DALILI ZA MAWE KATIKA MFUMO WA MKOJO ni nini?

¶Maumivu Ya Tumbo
¶Kukojoa Na Kuhisi Kutaka Kukojoa Kila Mara.
¶Kichefuchefu Na Kutapika.
¶Kukojoa Damu(Haematuria).
¶Uchungu/Kuwashwa Unapokojoa.
¶Jiwe Likikwama Kwenye Njia Ya Mkojo, Mkojo Hukatika Ghafla Wakati Wa Kukojoa.
¶Kukojoa Jiwe.

Je,mawe Ya Figo Yanaweza Kuharibu Figo?
NDIO Mawe Kwenye Figo Au Kwenye Njia Ya Mkojo Yanaweza Kuzuia Mkojo Kutoka Na Kusababisha Figo Kupanuka (Dilatation)

MATIBABU
TUMIA STEMCELLS PRODUCTS KUKINGA NA KUTIBU TATIZO LA FIGO
✓StemCells Hushughulika Na Ukarabati Wa Seli Zote Mwilini. Uzalishwaji Wa Seli Na Utengenezwaji Wa Organs Nyingine Mwilini.
Hukinga Na Hutibu Mwili Dhidi Ya Maradhi Zaidi Ya 280+ Mwilini

Kwa taarifa Zaidi
Instagram stemcell
Call 0764-134636

28/11/2022

Kwanini uendelee kuteseka???piga 0764-134636 KWA msaada zaid

Photos from phytosciencee_stemcell's post 28/11/2022

Kwann uendelee kuteseka????piga 0764-134636 ILI uweze kujipatia stemcell

06/10/2022

Phytoscience stemcell products ni kiboko ya tatizo la moyo% kwasababu zinarekebisha na kuzalisha cell mpya katika mfumo wa moyo KWA msaada zaid piga +255733663636

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Ubungo?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Bamaga
Ubungo