Nuru
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nuru, Media/News Company, StoneTown, Stone Town.
Rais wa , Andry Rajoelina amesema dawa ya kutibu corona iliyogunduliwa nchini humo inakosolewa kwa sababu inatokea Afrika, ila ingetoka Ulaya hakuna ambaye angekuwa na mashaka na uwezo wake. Amesema watu 105 waliopona nchini mwake walitumia dawa hiyo pekee.
Rais Dkt. Magufuli amemteua Mbunge wa Iramba, Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Uteuzi wa Dkt. Nchemba unaanza leo tarehe Mei 2, 2020.
Dkt. Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Augustine Mahiga ambaye amefariki dunia.
02/05/2020
Total confirmed cases in East Africa
02 may 2020
🇧🇮 - 11 cases
🇰🇪 - 411 cases
🇷🇼 - 249 cases
🇸🇸 - 45 cases
🇹🇿 - 480 cases
🇺🇬 - 85 cases
Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA) limechapisha picha zinazomuonesha kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong Un akizindua kiwanda cha mbolea eneo la Sunchon katika Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi). Kwa siku za hivi karibuni kumekuwapo taarifa kuwa kongozi huyo alikuwa mahututi.
08/04/2020
Welcome | Karibu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Address
StoneTown
Stone Town
255