JOTV

JOTV

Share

-Hii ni page ya Mashabiki wote wanaopenda mpila wa miguu wa Tanzania na Habari za Michezo kiujumla.

06/08/2023

Ziwezi kurusha live kwa sasa labda k**a zitakuwa interview za wasemaji au mikutona live kwanini sitoweza kurusha live kutokana hata nikirusha live Azam wataishusha tu kutokana na hivyo bc nitajitahidi angalau kuleta highlights za mechi so naombeni radhi kutokana na sababu hizo

03/08/2023

Asanteni sana endeleani Kushare page na kusabscribe kwa mengi na Mungu awabariki 🙏🙏

31/07/2023

kutoka kwenye Mahojiano kati ya msemaji wa simba Ahmed ali na wasafi media ameweza kusema kuwa bado yanga wana wachezaji 17 wakigeni ambao wapo avici town ambao na idadi hiyo wakiwemo Gael Brigimana aka EPL boy na Kambole.

30/07/2023

Klabu ya Yanga imempa Thank you aliyekuwa straika kisiki wa klabu Hiyo Fiston Mayele na kuachia video iliyokuwa inamuonesha mayle akiwaaga mashabiki wa yanga kupitia page ya instagram ya yanga kumeandikwa hivi"THANK YOU 🙏🏽

Uongozi wa Young Africans SC unapenda kuutarifu Umma kuwa tumefikia makubaliano na Klabu ya Pyramids FC kumnunua mchezaji wetu Fiston Mayele."

30/07/2023

Fiston Mayele Atambulishwa na Klabu ya Pyaramids kutoka yanga kupitia mtandao wao wa instagram k**a ilivyoandikwa "From the land of leopards.One set loose.New preys to hunt.Another forest to race through."

30/07/2023

Klabu ya Singida Fountain Gate iliyokuwa inaitwa Singida Big stars msimu uliyopita sasa imenasa staa wa Kenya Duke Abuya ambaye tyari amesha jiunga na klabu hiyo inayopiga kambi mjini Arusha kwaajili ya maandalizi ya msimu unaokuja wa Nbc Premier League
Kiungo huyo wakati ametokea team ya kenya iitwayo Kenya Police na kujiunga Na team ya Singida Fountain Gate msimu huu. .

30/07/2023

Taarifa ambazo zinaendelea kusamba kutoka kwenye magazeti ya leo kuhusu dili la Yannick Bangala Litambo kutoka yanga kwenda Azam zinasema dili hilo limewagarimu walambalamba hao wa chamazi kiasi cha sh. 120 Million kumnasa kiungo huyo ambaye alikuwa MVP msimu uliopita kwenye klabuni ya Yanga Kiungo huyo anayeungana na mchezaji mwingine kutoka yanga Feisal Salum aka Fei toto ambaye naye ataitumikia klabu ya azam msimu huu.
Usajili wa Bangala kwenda azam umemfanya kiungo raia wa kinaigeria Issa Ndala kuchomolewa kwenye kikosi cha azam.

29/07/2023

Manchester United watalipa Atalanta kiasi cha €75m + €10m ya nyongeza kwa ajili ya Rasmus Hojlund. Mshambuliaji wa miaka 20 kutoka Denmark amekubali mkataba wa miaka 5+1 - bado mkataba unahitaji kuthibitishwa. walikuwa wakitafuta €90m, lakini wamefanikisha mpango wenye thamani ya €85m

29/07/2023

Klabu ya Yanga Sc imemtambulisha straika wa kighana Hafizi Konkoni kutoka Bechem United Ya Ghana kupitia mtandao wao wa instagram k**a ilivyoandikwa "Karibu Young Africans SC Hafiz Konkoni 🔰"

29/07/2023

Azam Fc imemtambulisha Yannick Bangala Kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka mwili kupitia ukarasa wao wa instagram wameandika k**a ifuatavyo "Tumefikia makubaliano na klabu ya Yanga ya kumnunua, mchezaji kiraka, na amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya.Bangala karibu Mbagala! ⚪️🔵🍦"

Taarifa hii imetolewa baada ya yanga Kutangaza kuachana na Bangala kwa kumpa Thank you.

29/07/2023

Yannick Bangala Litambo apewa thank you,Na klabu ya Yanga Sc aliyokuwa anaitumikia,Bangala litambo alikuwa moja kati ya wachezaji ambao waliifikisha yanga katika hatu mbalimbali za ubingwa katika makombe walioshiriki msimu uliyopita taarifa zandani zinamuhusisha yannick bangala kuondolewa na Yanga kutokana na kuhusishwa na vitendo vya kuuza mechi kwenye moja ya derby zidi ya waasimu wao Simba sc taarifa hizi huenda zisiwe na mashiko ila ni moja ya maelezo ambayo yana wafanya Yanga Kufanya uaamuzi huo, aidha yanga kupitia ukurasa wao wa Instagram wametoa shukrani kwa muda wote aliokuwa nao klabuni hapo na kumtakia kira kheri kule aendako.

28/07/2023

Luton Town wamesaini beki wa kushoto Ryan Giles kutoka Wolves.

Mwenye umri wa miaka 23 hajawahi kucheza mechi za kikosi cha kwanza cha Wolves na amekuwa kwa miaka sita iliyopita akiwa kwa mkopo, ikiwa ni pamoja na muda aliotumia katika timu za Rotherham United, Blackburn Rovers na msimu uliopita Middlesbrough.

Anakuwa saini ya sita ya Luton msimu huu, pamoja na Tahith Chong, Chiedozie Ogbene, Marvelous Nakamba, na Mads Andersen ambao wamesaini mikataba ya kudumu kutoka Birmingham City, Rotherham United, Aston Villa, na Barnsley mtawalia. Issa Kabore kutoka Manchester City pia amejiunga kwa mkopo.

Want your business to be the top-listed Media Company in Shinyanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Shinyanga
1313