Genius Pro Max

Genius Pro Max

Share

Professional Blogger |Artist | Entrepreneur |Artists Manager |First Born |All we are equal but not the same

17/03/2026

Hapa kweli Mhe. Tulichapwa na kitu kizito Mzee wangu.
Endelea kupumzika kwa Amani. Tutakukumbuka Daima. One day Tutakutana huko huko ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

15/03/2026

โ€œFitina nazijua na nitawamuduโ€ - Waziri Makonda

11/03/2026

โ€œUkisikia Mgeni njoo mwenyeji apone ndio hii sasaโ€ ๐Ÿ˜€

10/03/2026

Huko Nchini Brazi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท jana kwenye soka kiliumana jiwe moja ndege 23 chali. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

05/03/2026

Sema Asante Mungu kwa kila jambo ๐Ÿ™๐Ÿ™

04/03/2026

Simba wa kuvundikwa akifukuza Simba wa Ukweli..... Alooooo ๐Ÿ˜€

28/02/2026

- (Audio cover)

Link on bio ๐Ÿ‘†๐Ÿ”—

Malaika by Genius Pro Max: Listen on Audiomack 12/02/2026

https://audiomack.com/Geniuspro/song/malaika

Malaika by Genius Pro Max: Listen on Audiomack Malaika song from Genius Pro Max. Release Date: February 12, 2026.

14/12/2025

Mtu pori nikitimba Pori kwa Pori ๐Ÿ‘Š

06/11/2025

โœ๏ธKutoka kwa Msanii Hussein Machozi.

โ€œ1 nimelia nikanyamaza.
2 alafu nikalia nikanyamaza.
3 nikatamani kujilipua
4 nimehisi njaa mara nikahisi kushiba
5 nikauchukia umaarufu kunuka
6 na sasa natamani kubadili dini
7 ila sijui niende dini gani kwa nilicho kishuhudia
ROHO YANGU INANIUMA VIBAYA KULIKO NENO LENYEWE ( vibaya)

Nashindwa kuwapigia kaka zangu mapolisi kwakua nahisi ni masnichi

Nashindwa kuongea na wadogo zangu wanajeshi kwakua nahisi wamenisaluti
NIMEUMIA KUONA POST ZA WASANII ZA KINAFIKI MPAKA NATAMANI KUPASUA HILI LISIMU...
MIMI MWANENU' MSHKAJI WENU MCHIZI WENU NAWAOMBA MPOKEE POLE ZANGU ZA KIPEKEE NA KAMWE NITAKUA NA NINYI USIKU MCHANA NA SIO KINAFIKIโ€... ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

๐Ÿ“

Huyu ni familia kabisa tumsamehe tu Hakua na Uchawa.

21/10/2025

Afande

18/10/2025

Uaminifu ni mtaji
Luka 16:12 Na k**a hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? Unataka upate mali yako mwenyewe jitahidi sana kwanza kuwa mwaminifu kwenye mali ya mtu Mwingine Uaminifu unalipa, Uaminifu ni mtaji, Uaminifu sio ujinga,

leo ninakuombea katika jina la Yesu Kwakuwa umekuwa mwaminifu katika mali za wengine Bwana akupe mali yako. Sema Amen ๐Ÿ™

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Mwanza