FAPRO NGO's
TO GIVE THE KNOWLEDGE ABOUT AGRICULTURE PODUCTION AND MANAGEMENT PRACTISES
10/06/2024
Katika shida zangu nalikuita ee mungu nawe uliisikia sauti yangu.
JOATEC TANZANIA imerudi katika hali ya kawaida.
kwa sasa iko salama.
kwa wale waliopata text ambazo ziliwaletea mkanganyiko niombe radhi kwa sababu ya wahuni wa mtandaoni kujaribu kuidukua account.
mwendo ni ule ule elimu mbalimbali za kilimo zinaendelea kuanzia leo usiku.
karibu sana ujipatie maarifa.😊😊💪✍️🧠🧠
Kilimo chetu kimetawaliwa na siasa, ujuaji mwingi wa kalamu kivitendo hawawezi. Mkulima gundua mbinu bunifu za kuweza kukupatia unafuu kwenye kilimo. Tuko karibu yako katika huduma ya ushauri wa kitaalamu wa nin cha kufanya kufikia malengo yako. Tuandikie unakumbwa na changamoto gani nami nitakupa muongozo wa kukusaidia.
Mimi ni mkulima.
Ukitaka ufanikiwe kwenye kilimo k**a huna hela na mda usifanye.
Kilimo kinahitaji uwe umejiandaa kwenye mda na hela. K**a una hela huna mda pia usifanye. Usimwamini alieko usiko kueko. Utavuna mabua.
05/05/2022
viwavi jeshi vamizi(fallarmyworm)
Viwavi jeshi vamizi ni wadudu waharibifu ambao walianza kuonekana Afrika Mashariki kuanzia mwaka 2016.Wanaweza kuwa na rangi nyeusi, kahawia au kijani
Wanakula mimea zaidi ya aina 80.Wanaharibu zaidi mimea jamii ya nafaka ingawa mazao hayo yakiwa hayapo wanaharibu sana pamba.
Asili na Usambaaji wa Kiwavi jeshi vamizi (Fall Armyworm)
Asili yake ni Amerika ya kati na kusini a -Machi, 2017Mwaka 2016 alionekana nchini NIGERIAZaidi ya nchi 20 za Afrika zimevamiwa na mdudu huyuTanzania alionekana katika mikoa ya Ruvuma,Rukwa na mbeya mwaka 2017Zaidi ya mikoa 20 TZ imeshavamiwa na FAW-Machi, 2018
MZUNGUKO WA MAISHA YA KIWAVI JESHI VAMIZI (FALLARMYWORM

TABIA ZA NONDO WA KIWAVI JESHI VAMIZI
Huonekana kwa urahisi nyakati za usikuAna uwezo wa kuruka umbali kilometa 100 kwa usiku mmojaAnataga mayai 50-200 kwa mafungu Mayai hufunikwa na utando mweupe Mayai huanguliwa kati ya siku 2 hadi 5 kuwa funza Funza hutapakaa kwenye majani na huanza kula majani upande wa chini ya mmea Funza ni waharibifu zaidi muda wa asubuhi sana na jioni Funza hutoa kinyesi kinachomkinga asiliwe na wadudu wengine au sumu isiweze kumfikia
NJIA ZA KUDHIBITI NONDO NA FUNZA WA KIWAVI JESHI VAMIZI
Kagua shamba lako mara kwa mara ili uweze kutambua k**a nondo, mayai, funza au viashiria au dalili za uharibifu katika zao la mahindi na mimea ya nafaka au mipamba na uchukue hatua zinazostahili Kinga mazao kwa kutumia njia za kiutamaduni mfano, weka shamba katika hali ya usafi,tumia mbegu inayokinzana na nondo wa k**a zipo, kilimo cha kubadili mazao au kupanda mimea inayozuia wadudu wasiingie shambani Ondoa masalia ya mimea ya mimea baada ya kuvuna na choma moto Tumia mitego yenye mtego wa maji yenye harufu ya kipepeo jike, hivyo kuwa na uwezo wa kuvutia madume na mara yanapoingia yanakufa.

VIUADUDU VINAVYOWEZA KUDHIBITI KIWAVIJESHI VAMIZI
Alpha-cypermethrin 10EC (systemic)lambda-cyhalothrin 5 SC au 100CS (Contact)Indoxacarb 14.5 EC au 150 EC/SL
Wakulima wengi wabafeli kwa kutokua na elimu ya ubunifu.
Elimu hii inamekua chabgamoto kwa wengi hata kwa baadhi ya wataalam wa kilimo.
Unaweza ukawa na nyenzo bora za kilimo. Ukikosa maarifa ya ubunifu hicho kitu hakitakua na matokeo mazur k**a ilivyotarajiwa.
Ubunifu huo unazingatia mambo mengi ila mojawapo ni hili.
Mabadiliko ya tabia nchi.
Aina ya Pembejeo na imetengenezwa kwa wakati gani. Elim ya darasan haitoshi.
Tunatakiwa tufanye kazi ya ziada kuhakikisha tunafanya makubwa kwenye kilimo.
Welcome to the GREEN WORLD SUCCESS
04/05/2022
GREEN WORLD SUCCESSFUL WhatsApp Group Invite
Nikiwa katika utafiti binafsi nimegundua jambo moja. Baadhi ya Wakulima wetu wanalima na technology ya enz hizo kitu kinachowafanya waendelee kuoata matokeo wanayopata sasa na kukalamika kilimo ni pata potea. Nilishasema na nitazid kusema.
KILIMO NI SAYANSI HALISI, SIO SIASA NA PROPAGANDA ZINAZOSEMA KILIMO NI PATA POTEA.
Ziko sababu kwanini hatufiki. Na moja wapo ni BAADHI YA WATAALAMU WETU KUTOKUA NA ELIMU YA UZALISHAJI NA KUA NA ELIMU YA KUNADI PEMBEJEO KIBIASHARA.
TUNAKUJA KUKUFUNGULIA FUMBO HILI.
ENEO DOGO MAVUNO MAKUBWA.
Hitaji letu ni kufikia kila mkulima kwa njia yeyote ile. Niwakaribishe kwa maswali na maoni.
Tukumbuke pia kipanda miti ya matunda na ya kawaida ni jambo muhimu kwa kutunza mazingira dhidi ya mabadiliko yabtabia nchi yanayotutesa wakulima kwa kiasi fulani.
Join together for better education
04/05/2022
Wakati bei za vitu zinavyozidi kupanda bei ndivyo wakulima wanazidi kupata wakati mgumu wa kumudu garama za uzalishaji mashambani.
Katika kuliona hilo napenda kuwapa habari njema kua sasa unaweza kupata elimu ya jinsi ya kukabiliana na changamoto ya mfumuko wa bei na kulima bika stress.
Fuatilia nakala zetu kuanzia leo uweze kujifunza mambo yafuatayo.
1. Wajua kwamba unaweza kulima tikiti na kuvuna hadi awamu tano???
2. Wajua unaweza kulima eneo dogo na kupata mara10 ya ukubwa unaolima???
3. Unajua njia rahis za kukabiliana na pembejeo feki??
4. Wajua unakwama wapi katika kilimo?
5. Ulishajiuliza kwanini hupigi hatua kwenye kilimo.
Haya ma mengine mengi yanakujia hapa hapa kuanzia leo.
04/05/2022
Habari za siku nyingi wana fb. Kwanza niwaombe radhi kwa kutokua hewani kwa mda mrefu.
Nimerudi tena na tutaendelea kupeana elimu ya kilimo. Karibu na endelea kutembelea page yetu hii kwa update zaidi
22/08/2021
New product in town.
"DON CHIL"
Ni Pilipili ya maji iliyotengenezwa kwa viungo mbalimbali K**a vile: swaum, mdalasini, tangawizi na viungo vingi vya asili, kwa matumizi ya nyumbani na biashara.
Ina harufu,ladha na mwonekano wakuvutia sana
Unakaribishwa Sana kwa jumla na rejareja.
Kwa wale wa nje ya Moshi DON CHIL inakufikia popote ulipo.
Weka Oda yako Sasa.
Kwa mawasiliano +255 766677240/ 623662765
12/12/2020
Huduma ya ushauri wa kitaalam kwa wakulima na ufugaji wa kuku unazidi kutolewa. Karibuni nyeto kwa wale wa moshi.
Kwa nje ya moshi group la wasap litafunguliwa kesho jumapil jion.
Yajayo yanafurahisha
Click here to claim your Sponsored Listing.
Telephone
Website
Address
Ushirika
Moshi