Stan
| Simba, Man utd and Real Madrid fan | Donโt take everything seriously | For fun sometimes |
08/02/2026
Hii iwe fundisho ๐
06/02/2026
THE DREAM IS FREE.
THE HUSTLE ID SOLD SEPARATELY.
04/02/2026
No matter what.
27/01/2026
Kwa mujibu wa taarifa ya kiuchumi iliyotolewa na shirika la kifedha duniani IMF mwaka 2026 inaonesha kuwa Uchumi wa Kenya umeimarika na kuifanya Kenya kuwa Economic Hub ya Afrika mashariki.
Uchumi wa Kenya pekee ni mkubwa Kuliko Uchumi wa Tanzania, Rwanda, Somalia, Burundi na Sudan Kusini kwa pamoja, yani jumla ya uchumi wa nchi 5 kwa pamoja bado hautofikia uchumi wa Kenya, kwa lugha nyepesi ni kuwa hata Tanzania, Rwanda, Somalia, Burundi na Sudan Kusini zikiungana na kuwa nchi moja bado uchumi wao hautofikia uchumi wa Kenya.
Kwa mantiki hiyo Kenya ndio "Super Power" wa Afrika mashariki, nchi zote nane za Afrika mashariki kiranja wao ni Kenya.
Tazama Pato la taifa la nchi za Afrika mashariki "EAC GDPs" kwa mwaka 2026. (According to the IMF).
โ Kenya ๐ฐ๐ช: $141 billion
โ Tanzania ๐น๐ฟ: $95 billion
โ DR Congo ๐จ๐ฉ: $88 billion
โ Uganda ๐บ๐ฌ: $72 billion
โ Rwanda ๐ท๐ผ: $15 billion
โ Somalia ๐ธ๐ด: $14 billion
โ Burundi ๐ง๐ฎ: $9 billion
โ South Sudan ๐ธ๐ธ: $6 billion.
Credit to Comred Mbwana Camerรดรฒ Allyamtu
25/01/2026
Glory glory Man United! ๐๐
25/01/2026
Evolution
EASY SUNDAY
Hala Madrid!
GGMU ๐ดโช๐ดโช
All the best Mnyama.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Morogoro