Wana Foundation
Advocating for Good Deeds, Education and Skills Development
Devoted;
To share smile, happiness and confidence with the children in need
To create a new version of students that will be able to change the world
13/04/2026
K**a sehemu ya kuadhimisha siku ya Matendo Mema Duniani, Tarehe 25/04 Mimi na Wewe k**a Familia tutaungana pamoja kwenda Kituo cha Watoto cha Raising Orphanage Center tukiwa na Sadaka yetu k**a Token ya Upendo. Halafu baada ya kuwaonyesha Upendo wetu watoto then tutaungana pamoja na kutembelea Nyumba tuliyokubaliana kumjengea ndugu yetu Fredy ambaye ni Mlemavu. Tutaenda kuona imefikia wapi.
Weka Sadaka yako k**a Token ya Upendo.
M-Pesa: 0746156319
Jina: Frank Mwainyekule
Wana Charity
Just Us For Love
Partners: & AGF Songwe
09/03/2026
Honored to participate in the Good Deeds Day Leadership Conference. It was a valuable opportunity to connect, learn and reflect on how we can strengthen the future of our organization, collaborate with the organizations around us and better serve and inspire our community. Together we continue building partnerships that inspire Good Deeds, Growth, Leadership and Lasting impact.
Good Deeds Day 20th Anniversary👏🏾
@
05/03/2026
It was pleasure attending Good Deeds Day Leadership Conference and networking with leaders from different organizations and individuals dedicated to doing good.
Good Deeds Day Leaders Conference, March 1, 2026 at . This Conference brings together partners to share, learn and exchange experiences.
Thank you Madam Doroth Namuhisa and for the invitation.
Let’s Keep Doing Good Together
20th Anniversary on April 12, 2026
JUST US FOR LOVE
Hello WANA CHARITY, Happy New Year!
Ni mwaka mwingine tena, shukrani ziende kwako wewe uliefanikisha shughuli za Wana Charity 2025 kwa michango ya pesa na muda wako hakika Mungu hawezi kukusahau. Kipekee sana shukrani ziwafikie AGF - Songwe ambao wamefanya sana katika shughuli ya ujenzi pale Simambwe, hata sijui bila hawa jamaa ingekuwaje. Mungu awabariki sana na hii 2026 Mkafanikiwe sana.
Sasa jana tulifika Simambwe kuangalia ujenzi wetu (Mungu akubariki Glory kwa muda wako siku ya jana) lakini pia tulienda na mafundi wa kupaua ili watufanyie tathmini tujue tutaezeka kwa gharama gani. Mafundi wa kujenga ndio wanamalizia upande sasa ni wakati wa kurudi kwa pamoja ili tuone tunalifunika vipi hili pagara ili ndugu yetu aingie kwenye nyumba yake mapema.
Tunahitaji tupate;
- Bando za Bati
- Mbao
- Misumali
- Malipo ya ufundi.
Najua Mungu ametubariki kwa baraka tofauti tofauti na vipato tofauti toafauti ili tufanyike baraka kwa wengine. Hii ni January panda sadaka nzito itakayokubeba na kuyashika maisha yako mwaka mzima.
Jilipue chukua bando 1 mjengee huyu jamaa halafu ukiwa unamuomba Mungu mkubushe hii. Mungu hasahau
Tukimbizane sasa na Mungu hawezi kutuacha … Msimu wa mvua ndio huu tusiache jengo likaloa muda mrefu.
M-Pesa: 0746156319
Jina: Frank Mwainyekule
WANA CHARITY
JUST US FOR LOVE
01/01/2026
Thank you to everyone who stood with us, believed in our mission and helped us touch lives in 2025. Together we created change. May 2026 bring more opportunities, unity and hope. Happy New Year! 🎆❤️
25/12/2025
We wish you a Merry Christmas and Happy New Year🥳🎄
❤️
Ipo siku tutaungana pamoja na kuikabidhi Sadaka hii ya nyumba kwa ndugu yetu Fredy pale Simambwe. Tunaendelea kuijenga kwa michango ya buku buku na buku mbili (Yaani michango midogo midogo) Mungu atusaidie sana.
Kabla ya kutoa Sadaka yako hakikisha unaiombea kwanza, unasema mambo yako mbele za Mungu kisha unaambatanisha na Sadaka yako.
Weka Sadaka yako humu.
M-Pesa: 0746156319
Jina: Frank Mwainyekule
WANA CHARITY
JUST US FOR LOVE
It took me about 15 minutes to understand what he was singing…😂
Alikuwa anachukua Vowel moja moja anaiweka kwenye Consonants zote then ina-sound hivyo!
Sisi hatukuwahi kufundishwa hii mbinu!
Hongera walimu👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
WANA CHARITY
JUST US FOR LOVE
14/01/2025
Tarehe 30/12/2024 Tuliandaa tukio la kuwatembelea Wazee wasiojiweza katika kaya kadhaa kwenya Kata Nne za Jiji la Mbeya tukigawa baadhi ya mahitaji na chakula. Tulipoenda kuwatembelea Wazee hawa tulifika katika nyumba ya Bibi mmoja mjane na mvua ilikuwa inanyesha tukajisitiri humo lakini nyumba ilikuwa inavuja sana. MC Mwakapalila akaona kwanini tusifanye jambo kwa Bibi huyu ili walau maji yasimdondokee ndani, basi tukafanya kwa uwezo wetu ili angalau Bibi asinyeshewe tukafanikiwa kubadilisha bati za nyumba hii na sasa Bibi hanyeshewi tena.
Mungu awabariki wote kwa Upendo wenu kwa Bibi zaidi, Mungu awabariki sana Familia ya MIMI NINA WATU kwa Upendo wao mkubwa. Aisee👏🏾👏🏾
Namuomba Mungu kila mlichofanya kwa yule Bibi kikawe alama na ukumbusho mbele za Mungu.
Upendo una nguvu sana
WANA CHARITY
JUST US FOR LOVE
04/01/2025
WANA CHARITY
Asanteni kwa mlichokifanya kwaajili ya wazee… Mvua iliwanyeshea na jua liliwawakia lakini kata 4 zote mlifika kuwasaka wazee wasiojiweza.
JUST US FOR LOVE
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Telephone
Website
Address
Mbeya