Baraka Fm Radio
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Baraka Fm Radio, Radio Station, Kadege, Mbeya.
Karibu katika ukurasa wetu wa habari na Burudani BARAKAFM MBEYA tupo tayari kukupa habari muda wotee usiache kusikiliza barakafm 107.7Mhz popote ulipoo pia Bonyeza Link hapo kutufuatili online
31/12/2025
🚨 TANGAZO 📌
https://www.youtube.com/live/xj-25u2jcvs?si=rKsX5Qoi3Lo66N6h
Ibada ya jumapiili ya leo kutoka usharika wa Forest
Karibu tuabudu pamoja tupo live YouTube ya BARAKA MEDIA MBEYA na Kupitia Baraka fm radio 107.7mhz
Usisahau kusubscribe account hii kwa ibada na matukio mbalimbali 🙏🙏🙏🙏
30/11/2025
https://www.youtube.com/live/DNBG6RhCnPA?si=ROY9HubkUcN8FvPc
Matangazo ya moja kwa moja ya Tamasha la uimbaji la vijana kati kanisa la Moravian Isyesye.
Unaweza kusubscribe na kushare kwa wengine ila wote tuendelee kubarikiwa na ibada hii.
MUNGU AKUBARIKI KWA KUTUTAZAMA.
IBADA MAALUMU YA TAMASHA LA VIJANA KATI USHIRIKA WA ISYESYE MBEYA 30.11.2025 Karibu sana katika Ibada Maalumu ya mwisho wa mwezi kutoka kanisa la Moravian tanzania jimbo la kusini magharibi ushirika wa ISYESYE. Barakamediambeya
06/11/2025
Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mtumishi wa taasisi za kanisa aliyefariki October 29.10.2025.Kushoto ni Katibu Mkuu KMT -JKM mchungaji Nsevilwe Msyaliha na katika ni mchungaji wa ushirika wa Nzovwe Jonam Msangawale
Mazishi yamefanyika katika makaburi ya Iwambi jijini Mbeya.
https://www.instagram.com/p/DQuftD6jQPu/?igsh=MXc0ZnBkOHFocnNlcQ==
21/10/2025
Askofu Pangani afungua mkutano mkuu & #8220;sinodi& #8221;KMT-JKM,awataka wajumbe kuepuka kampeni za kupata viongozi
Askofu Pangani afungua mkutano mkuu “sinodi”KMT-JKM,awataka wajumbe kuepuka kampeni za kupata viongozi Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kila baada ya miaka mitano linafanya mkutano mkuu. ‎‎Na Hobokela Lwinga ‎‎Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Pangani amewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa hilo” Sinodi”kujiepusha…
15/10/2025
Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa
Dkt.Mpango;Wananchi tudumishe amani,tumuenzi Baba wa taifa Mbio za mwenge kitaifa kitaifa 2025 zimehitimishwa rasmi mkoani Mbeya baada kukimbizwa kwa siku 195 nchi nzima. Na Hobokela Lwinga Makamu wa Rais Tanzania mhe.Philip Mpango amewataka wananchi wakiwemo vijana kuhakikisha ‎Wanasimamia misingi iliyoachwa na baba wa taifa mwalimu Julias…
Serikali imeendelea kuchukua hatua kuimarisha ustahimilivu wa Taifa dhidi ya majanga, kupitia utekelezaji wa sera,sheria https://radiotadio.co.tz/barakafm/2025/10/13/6644/
12/10/2025
MATUKIO:12.10.2025.
‎
‎Idara ya Kwaya kuu ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi katika ushirika wa Itili.
‎
‎Ibada hii inaongozwa na mlezi wa idara hiyo ambaye ni Makamu mwenyekiti KMT-JKM mch.Asulumenie D.E.Mwahalende.
‎
‎Tuko live Baraka fm radio 107.7mhz
‎
‎Na Online yetu ya https://radiotadio.co.tz/barakafm/
https://www.instagram.com/p/DPtChb_De_7/?igsh=MTR1MGI1eHZqOGJyZA==
Baraka FM - Sauti ya Matumaini na Ukombozi Sauti ya Matumaini na Ukombozi
https://www.youtube.com/live/nq_4_Q2I9bo?si=veBxMMAhQPmWziNB
Endelea kuwa nasi katika matangazo ya live mkutano wa vijana kati kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi.
Ratiba ya sasa ni tamasha la uimbaji.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kadege
Mbeya
06/11/2025
06/11/2025
06/11/2025