Thankyou Rojasi
+255 753 111 969
17/02/2026
Crusede
17/02/2026
22/01/2026
Mkutano kapunga jumapili tahe25/1/2025 tanzani
12/09/2025
MUNGU NI MKUU KULIKO VITU VYOTE
DUNIAN KOTE INAJUWA MUNGU NI VYOTE
Evangelist thankyou rojas from mbeya tanzania
Ujenzi moto kapunga
Hekaru ujenzi mbeya tanania
Injli uzma
22/07/2025
Mungu mkuu sanaa
22/04/2025
Shida atusomi biblia tujuwe ukweli hasa Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo
Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.
Mungu akisema amesema
14/12/2024
Zabuli 105:1___Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake,
wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.
Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,
waambieni matendo yake yote ya ajabu.
Lishangilieni jina lake takatifu,
mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.
Mtafuteni Bwana na nguvu zake,
utafuteni uso wake siku zote.
enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,
enyi wana wa Yakobo, wateule wake.
agano alilolifanya na Abrahamu,
kiapo alichomwapia Isaki.
Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,
kwa Israeli liwe agano la milele:
“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani
kuwa sehemu utakayoirithi.”
Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;
kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
“Msiwaguse niliowatia mafuta;
msiwadhuru manabii wangu.”
Zaburi 105:1-4, 6, 9-11, 14-15
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mbeya