BASIC SUPER TV

BASIC SUPER TV

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from BASIC SUPER TV, Arts and entertainment, MBARALI, Mbeya.

For the all news about entertainment and sports ���� we getting here in this page and fo more details subscribe to my YouTube channel here��
https://youtube.com/@basicsupertv
basic super tv

14/04/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Mbwana Bakari, Clezencia Godfrey, Hermani Paulo, Daniel Aron, Sheggy Sebastian, Lubimbi Mahina

14/04/2026

Liverpool na Barcelona zimeaga rasmi michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushindwa kuvuka hatua ya robo fainali.

Liverpool imekumbana na kipigo kingine kutoka kwa mabingwa watetezi, Paris Saint-Germain (PSG). Nyota wa timu hiyo, Ousmane Dembélé, alifunga mabao mawili yaliyoiwezesha PSG kutinga nusu fainali kwa kishindo.

Katika pambano jingine lililovuta hisia za mashabiki, Atlético Madrid ilionyesha ubora wake licha ya kufungwa mabao 2-1 na FC Barcelona katika mechi ya marudiano. Ushindi wao wa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza uliwapa faida ya jumla, na hivyo kuwahakikishia nafasi ya kusonga mbele hadi nusu fainali.
source VOA

09/04/2026

Mchezo umekwisha.

07/04/2026

Bayern Munich Avunja Uteja Na Real Madrid leo
Madrid kapasuka chuma 2 kwa 1

07/04/2026

HAKIKA SIJAPENDA KUBAGULIWA KWA YAMAL KITENDO HIKI SIO KIZURI - VIN JR

06/04/2026
06/04/2026

Nani mkali wako hapa

06/04/2026

Mtumishi Nick Shaboka ameamua kuvunja Ukimya Baada ya Uvumi wa yeye na Mkewe Pastor Rose shaboka kushidwana.

"Niwaulize watu, hivi Mimi naweza kushindana na mwanamke niliye enda kumlipia mahari kwao, nikamleta kwangu, nikambadilisha jina, tena nikampa jina langu, nikamtia mimba ya kwanza akaenda leba kujifungua, mimba ya pili mpaka mimba ya tatu? Mbona mnakuwa Hamna akili nyie?

🗣️ pastor Nick Shaboka

05/04/2026

SHUKA CHINI KWENYE COMMENT TUJUANE

05/04/2026

Nipende kuwatakia heri ya siku pendwa ya Kumbukizi ya Kufufuka kwa Yesu Kristo Duniani kote.
Tutende mambo mazuri na mema Huku Mungu Akituongoza kukwepa Kutenda dhambi ili Tusije Mrudisha Yesu Tena MSALABANI
BARIKIWA WOTEEEEE

03/04/2026

.Taharuki imetanda Mkoani Mbeya na songwe Baada ya kuzuka kikundi cha watu.Nyeti hutoweka pindi Mtu huyo Atakapo kushika Nyeti zako kwa mwanaume Maumbile huwa madogo, Wakati mwingine Hutoweka kabisa
mambo hayo hutokea katika michanganyiko ya Watu mbalimbali k**a vile Sokoni au barabarani
JE UNGEKUWA WEWE UNGEVAA PINI NYETI ZISITOWEKE???

02/04/2026

*Mimi ni Mhandishi wa habari sitakiwi kuweka Mapenzi na Nyimbo ya msanii yoyote ila nataka kusema Hii nyimbo Ni Kaliiiiii mnoooo BIEN FT ALIKIBA (FINALLY)*
HUYU DADA NDIO KAMALIZA MCHEZO HASWAAAAAA ANAITWA ni MKENYA HUYU DADA WAOOOOO AMAZINGLY

Want your establishment to be the top-listed Arts & Entertainment in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


MBARALI
Mbeya

Opening Hours

09:00 - 17:00