BASIC SUPER TV
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from BASIC SUPER TV, Arts and entertainment, MBARALI, Mbeya.
For the all news about entertainment and sports ���� we getting here in this page and fo more details subscribe to my YouTube channel here��
https://youtube.com/@basicsupertv
basic super tv
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Mbwana Bakari, Clezencia Godfrey, Hermani Paulo, Daniel Aron, Sheggy Sebastian, Lubimbi Mahina
14/04/2026
Liverpool na Barcelona zimeaga rasmi michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushindwa kuvuka hatua ya robo fainali.
Liverpool imekumbana na kipigo kingine kutoka kwa mabingwa watetezi, Paris Saint-Germain (PSG). Nyota wa timu hiyo, Ousmane Dembélé, alifunga mabao mawili yaliyoiwezesha PSG kutinga nusu fainali kwa kishindo.
Katika pambano jingine lililovuta hisia za mashabiki, Atlético Madrid ilionyesha ubora wake licha ya kufungwa mabao 2-1 na FC Barcelona katika mechi ya marudiano. Ushindi wao wa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza uliwapa faida ya jumla, na hivyo kuwahakikishia nafasi ya kusonga mbele hadi nusu fainali.
source VOA
09/04/2026
Mchezo umekwisha.
07/04/2026
Bayern Munich Avunja Uteja Na Real Madrid leo
Madrid kapasuka chuma 2 kwa 1
07/04/2026
HAKIKA SIJAPENDA KUBAGULIWA KWA YAMAL KITENDO HIKI SIO KIZURI - VIN JR
06/04/2026
06/04/2026
Nani mkali wako hapa
06/04/2026
Mtumishi Nick Shaboka ameamua kuvunja Ukimya Baada ya Uvumi wa yeye na Mkewe Pastor Rose shaboka kushidwana.
"Niwaulize watu, hivi Mimi naweza kushindana na mwanamke niliye enda kumlipia mahari kwao, nikamleta kwangu, nikambadilisha jina, tena nikampa jina langu, nikamtia mimba ya kwanza akaenda leba kujifungua, mimba ya pili mpaka mimba ya tatu? Mbona mnakuwa Hamna akili nyie?
🗣️ pastor Nick Shaboka
05/04/2026
SHUKA CHINI KWENYE COMMENT TUJUANE
05/04/2026
Nipende kuwatakia heri ya siku pendwa ya Kumbukizi ya Kufufuka kwa Yesu Kristo Duniani kote.
Tutende mambo mazuri na mema Huku Mungu Akituongoza kukwepa Kutenda dhambi ili Tusije Mrudisha Yesu Tena MSALABANI
BARIKIWA WOTEEEEE
03/04/2026
.Taharuki imetanda Mkoani Mbeya na songwe Baada ya kuzuka kikundi cha watu.Nyeti hutoweka pindi Mtu huyo Atakapo kushika Nyeti zako kwa mwanaume Maumbile huwa madogo, Wakati mwingine Hutoweka kabisa
mambo hayo hutokea katika michanganyiko ya Watu mbalimbali k**a vile Sokoni au barabarani
JE UNGEKUWA WEWE UNGEVAA PINI NYETI ZISITOWEKE???
02/04/2026
*Mimi ni Mhandishi wa habari sitakiwi kuweka Mapenzi na Nyimbo ya msanii yoyote ila nataka kusema Hii nyimbo Ni Kaliiiiii mnoooo BIEN FT ALIKIBA (FINALLY)*
HUYU DADA NDIO KAMALIZA MCHEZO HASWAAAAAA ANAITWA ni MKENYA HUYU DADA WAOOOOO AMAZINGLY
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
MBARALI
Mbeya
Opening Hours
| 09:00 - 17:00 |