MBEYA IMS FIELD
Karibuni kwenye ukurasa maalumu wa south west mission field.
14/11/2020
Tar 11/11/2020 kanisa la wasabato Wa matengenezo Mababu kyela Mbeya
Ndoa takatifu kati ya Kijana Nelson Humbo na Dada Ester mkoa Wa Mbeya
Ndoa iliyofungishwa na mch.Ibrahim Sanga
Tuiombee ndoa hii mpya...
24/10/2020
Tuyachunguze maandiko watu Wa Mungu
Matendo 17:10,11
03/10/2020
Ubatizo uliofanyika katika makambi ya kanda ya kyela kanisa la wasabato wa matengenezo 2/10/2020 na mch J.M.BWALYA
Eneo ziwa Nyasa
Tuziombee hizi roho mpya nane ,Amina.* #
MAKAMBI MAKAMBI 2020
Kanda ya kyela -Mbeya `eneo La kanisa la Makwale*
Tar 27/9/-3 /10/2020
Wahudumu
Mch. Bwalya ,Mch Mbuba na Doctor Nyakeji
*Fungu kuu Ufunuo 18:1-3
*Masomo yatakayofundishwa
1.kristo haki yetu ,2.unabii 3.Afya na 4. historia ya kanisa.
*Waimbaji* ni sauti kuu, vijana kanda , mwimbaji binafsi Rest Joel atakuwepo.
Imeandaliwa na- MULTIMEDIA FIELD YA MBEYA
USIPANGE KUKOSA. #
Warumi 12:5
[5]Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the place of worship
Telephone
Website
Address
Isyesye
Mbeya