Afya Kwanza

Afya Kwanza

Share

huduma zetu K**a ifuatavyo. kwa wanaosumbuliwa na kisukari
kansa , UTI , PID , vidonda vya tumbo ,nk

25/09/2022

🌿DALILI ZA MVURUGIKO WA MFUMO WA HOMONI

🌸ukavu uken

🌸Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

🌸Kutoa jasho usiku kusiko kawaida
🌸Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.

🌸Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

🌸Siku za hedhi kubadilika badilika🌸Kukosa hedhi kwa muda mrefu.

🌸Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.

🌸Uchovu wa mara kwa mara.

🌸Hasira za mara kwa mara.

🌸Kukosa usingizi.

🌸Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.

🌸Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.

🌸Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.

🌸Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele)
🌸Maumivu ya viungo.

🌸Upungufu wa nywele kichwani
Kusahau sana.

🌸kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.

🌸Kupata hedhi wakati wa ujauzito
🌸Msongo wa mawazo.

🌸Kutopata choo kwa wakati
🌸Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.

🌸Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

🌸Matiti kutoa maziwa ili Hali sio mjamzito.

🌸Kuhisi na kupata Dalili zote K**a mjamzito wakati hauna ujauzito.

👉 Watu wengi wanasumbuliwa na matatizo k**a hayo yawezekana wewe ni miongoni mwao au una ndugu jamaa na rafki wanasumbuliwa na ili tatizo. Tupigie *0743156162* kwa suruhisho la tatizo lako

Want your practice to be the top-listed Clinic in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mbeya Nzovwe
Mbeya