Cute
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Cute, Women's clothes shop, Mbeya.
15/01/2026
Mchezo wa Al Ahly SC vs Yanga SC siku ya Ijumaa utapigwa kwenye uwanja wa Borg El Arab uliopo Alexandria ikiwa ni mwendo wa masaa 2:30 mpaka 4 kutoka Cairo kwa usafiri wa Treni au Basi✍️
Mchezo wa mwisho Yanga kucheza uwanjani hapo walipoteza bao 2-1 dhidi ya Al Ahly kwa bao la 94’ la Abdallah El Said.
DONDOO MUHIMU
- Pitch yake (Eneo la kuchezea) ina urefu wa Mita 105 na upana wa Mita 70.
- Uwanja huu upo Kilomita 1.5 kutoka kituo cha Treni na upo kilomita 15 kutoka Alexandria mjini.
- Una uwezo wa kuingiza mashabiki 86,000 walioketi na una paa moja tu liliofunikwa (VIP)
- Upo Jangwani (Kwenye mkondo wa jangwa la Cairo - Alexandria)
- Ni uwanja ambao hautarajiwi kujaa kwa sababu mashabiki wa Alexandria sio waendaji uwanjani k**a wa Cairo.
- Ni uwanja wa Kisasa mno licha ya muonekano wake wa kizamani✍️ Una huduma zote za kisasa na za viwango vya juu…! Migahawa, maduka, vyoo na kila kitu ni kizuri✍️
- Zamani Zamalek na Ahly walipeleka sana mechi zao ngumu huko Ila kwa sasa unatazamwa k**a uwanja wa kawaida tu na wanapeleka mechi zao kwa ajili ya mashabiki wa Kaskazini mwa Misri✍️
- K**a vilivyo viwanja vingi vya Misri, uwanja huu umejengwa kwenye ubunifu na usimamizi wa jeshi la Misri✍️
- Ni uwanja wa pili kwa Ukubwa Misri (Nyuma ya Misr Stadium 90K) na ni wa pili kwa umaarufu baada ya Cairo International ✍️
- Upo karibu mno na Bahari ya Mediterrania.
Mwenyeji!? Mjumbe wa K**ati ya utendaji ya Yanga anaujua vyema tu kwani 2016 alikuwa na Yanga wakati wakicheza hapo na ndiye aliyelinda chumba cha Yanga!
25/10/2025
🚨🚨 DEAL DONE: Yanga wamemuajiri kocha wa zamani wa Ekenäs ya Finland,Casa Pia ya Ureno,na timu za vijana za Sporting Lisbon,Filipe Duarte da Silva Pedro,kuwa kocha msaidizi wa timu hiyo✅
Kocha huyo ataambatana na kocha mkuu Pedro Gonçalves ili kuinoa Yanga.
Ikumbukwe walikuwa pamoja kwenye timu ya taifa ya Angola.
Balaa jingine limetua NBC😄
Kwa habari za uhakuka
08/10/2025
Mwanaume zingatia kanuni hizi
1. Usiombe wala kulilia ngono
2. Ukituma SMS moja isipojibiwa na yuko online usitume nyingine kumuuliza kwa nini hajibu
3. Usivumilie aina yoyote ya kuvunjiwa heshima. Usikae usipoheshimika wala kuthaminika
4. Jiandae na kuwa tayari kuondoka kwake pale inapobidi
5. Usimfanye huyo mwanamke kuwa kipaumbele chako
6. Jiwekee viwango (set standards)
Wanaume tunaelewana kule?
08/10/2025
,,,🔥🔥ROMUALD ROKOTONDRABE
Kocha mpya wa Yanga ROMUALD anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania siku ya jumamosi October 11 kukamilisha usajili wake ndani ya Yanga k**a kocha mkuu.
27/09/2025
Aziz Yaya Touré Andabwile 🔥 Confidence inapanda siku hadi siku, taratibu anaanza kuonesha kila silaha aliokua nayo🙌🏼 jamaa ana kimo kinacho msaidia kushinda mipira mingi ya hewani
Sio kwenye kuzuia tuu lakini leo ametumia faida ya kimo chake kushinda mpira wa hewani na kuwapa Yanga goli la pili 🔥
Bila ya kumfananisha na yoyote now binasi yake anawapa Yanga kile alicho nacho 💪🏻
26/09/2025
Kumbe na huku PACOME YUPO😂😂
ila kuinga kwa mtu alie kudhidi sio dhambi😂😂
au namimi nipake brich huenda nikapata team
24/09/2025
,,,🔥🔥| Kuna Wachezaji halafu kuna Pacome huyu Jamaa alizaliwa kucheza mpira.
Muda wote anaombea mpira kwenye maeneo magumu na kuwavunjavunja wapinzani kurahisi sana.
Nguvu,ufundi na uthubutu vinamfanya kuwa tishio mbele ya wapinzani.
Leo kipindi cha pili ameleta uhai mkubwa sana….Top Top Player🖐️
23/09/2025
,,,🔥| YANGA KUCHEZA MECHI 3 NDANI YA SIKU 7 TU 😥
Yanga vs Pamba Jiji - Septemba 24
Yanga vs Wiliete - Septemba 27
Mbeya City vs Yanga SC- Septemba 30
Ratiba ni ngumu sana ila naamini msimu huu tuna kikosi kipana sana 🙏 tuendelea tu kusapoti na kuiombea timu yetu
22/09/2025
👉🏽huyu hapa Hemed Suleman Ally "Morocco" kamimu Kocha mkuu wa Timu ya taifa ya Tanzania ametangazwa na klabu ya Simba k**a kocha wa muda wa klabu hiyo.
⚡Morocco atakuwa na jukumu la kusadiana na kocha Suleiman Matola katika mchezo wa marudiano dhidi ya Gaborone United kwa mkapa .
⚡ Kumbuka kwenye mchezo huo Kocha Suleiman Matola hatokuwepo kutokana na kutumika adhabu ya kadi nyekundu aliyoonyeshwa kwenye mchezo wa kwanza ulifanyika Botswana
21/09/2025
Kocha Mkuu Fadlu Davids ameondoka rasmi kwenye klabu ya Simba baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gaborone United. Mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake akiwa kwenye benchi la ufundi la Wekundu hao wa Msimbazi.
Baada ya mchezo huo, Davids hakusafiri na kikosi kurejea nchini Tanzania, bali alielekea Johannesburg kuanza ukurasa mpya wa maisha yake ya kikazi.
Kocha huyo ameondoka pamoja na wasaidizi wake wanne muhimu:
⚽ Msaidizi wake wa kwanza
🧤 Kocha wa magolikipa
📊 Mchambuzi wa takwimu
💪 Mtaalamu wa mazoezi ya mwili
Kwa sasa, majukumu ya kuongoza timu yamekabidhiwa kwa Matola na Riedoh Berdien, ambao watalisimamia benchi kuelekea mchezo wao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Fountain Gate FC.
👉 Unadhani hatua hii italeta mabadiliko gani kwenye safari ya wekundu wa Msimbazi?
18/09/2025
Hapa ukiangalia zimbwe jr alikua anamwambia nn mchezaji wa Simba?
Zaidi ya kusema Simba viongozi wake wahuni tuuh!?!.
18/09/2025
Kuna Mda Rushaina Aligalagazwa akaona Kila Rangi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Website
Address
Mbeya