Kev damas support

Kev damas support

Share

Vichekesho 4G

26/10/2024
Photos from Kev damas support's post 24/10/2024

Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika.

Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na Tuzo hiyo ya Rais Hersi ilipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Mhe.Ali Jabir Mwadini.

Photos from Kev damas support's post 19/10/2024

Alhamdulilah πŸ™πŸ™πŸ™πŸ’šπŸ’›πŸ’›πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

19/10/2024

Mtoto KAUTAKA πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

15/10/2024

KILA LA HERI STARS

LEO, Taifa Stars watakuwa dimba la nyumbani, Benjamin Mkapa wakisaka ushindi dhidi ya DR Congo mechi ya kundi H kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.

Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia .

07/10/2024

RATIBA YA SIMBA SHILIKISHOπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Want your business to be the top-listed Media Company in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mbeya