IJUE AFYA

IJUE AFYA

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJUE AFYA, Medical and health, Mbeya city, Mbeya.

Jifunze na tambua masuala ya Uzazi pamoja na Afya ya mfumo Wa Uzazi: matatizo na magonjwa yanayoshambulia mfumo Wa Uzazi yaani via vya uzazi kwa wanawake, bila kusahau Afya ya mtoto, lishe bora na maendeleo ya ukuaji

"Obstetrics & Gynaecology"

Hali hii kitaalam huitwa gastroschisis, Hali hiyo imewakatisha tamaa wazazi wengi waliozaa watoto wa jinsi hiyo na kuona K**a vile wamepata mkosi ama wamelogwa na kupelekea kukataa tamaa ya kuzaa tena. Lakini ukweli ni kwamba Hali hii Inatibika kabisa na hutokea si kwa sababu moja tu, maana kisababishi Cha moja kwa moja bado hakijulikani ingawa zipo sababu nyingi zinazohusishwa na kutokea kwa tatizo hilo, sababu moja wapo ni pamoja na matumizi ya sigara wakati wa ujauzito, kubeba mimba katika umri mdogo chini ya miaka 20, mazingira yanayotuzunguka na shughuli mbalimbali zinazofanyika katika jamii zetu, maambukizi (infection) katika njia ya uzazi/mkojo K**a vile UTI, kaswende nakadhalika.

* Pamoja na changamoto wanazokuwa nazo watoto wenye tatizo hili bado wanauwezo mkubwa wa kuishi endapo watawahishwa hospitali maalumu yenye kitengo cha watoto wachanga kwa haraka Mara baada ya kuzaliwa na kuanzishiwa matibabu mapema.

CHAMUHIMU NA CHA KUJIFUNZA HAPA

 -unapotaka kupanga uzazi ama kubeba mimba kwa lengo la kupata mtoto ni vyema ukapata ushauri wa kitaalamu, elimu ya awali kabla haujabeba ujauzito ili uweze kujua namna ya kuitunza mimba, Aina gani ya vyakula utumie katika umri gani wa ujauzito, shughuli gani ufanye na zipi usizifanye katika kipindi hicho Cha ujauzito, lakini pia uweze kufahamu juu ya dalili za hatari kipindi Cha ujauzito na hata namna ya kumtunza mtoto Mara baada ya kuzaliwa.

-Usipuze kwenda KLINIKI ya mama na mtoto kwani kuna mengi mazuri ya kujifunza.

YOHANA MWAZEMBE
 0764108196
kwa ushauri/Elimu ya kiafya 24/06/2022

https://www.instagram.com/p/CfMV4tQN6yL/?igshid=YmMyMTA2M2Y=

Hali hii kitaalam huitwa gastroschisis, Hali hiyo imewakatisha tamaa wazazi wengi waliozaa watoto wa jinsi hiyo na kuona K**a vile wamepata mkosi ama wamelogwa na kupelekea kukataa tamaa ya kuzaa tena. Lakini ukweli ni kwamba Hali hii Inatibika kabisa na hutokea si kwa sababu moja tu, maana kisababishi Cha moja kwa moja bado hakijulikani ingawa zipo sababu nyingi zinazohusishwa na kutokea kwa tatizo hilo, sababu moja wapo ni pamoja na matumizi ya sigara wakati wa ujauzito, kubeba mimba katika umri mdogo chini ya miaka 20, mazingira yanayotuzunguka na shughuli mbalimbali zinazofanyika katika jamii zetu, maambukizi (infection) katika njia ya uzazi/mkojo K**a vile UTI, kaswende nakadhalika. * Pamoja na changamoto wanazokuwa nazo watoto wenye tatizo hili bado wanauwezo mkubwa wa kuishi endapo watawahishwa hospitali maalumu yenye kitengo cha watoto wachanga kwa haraka Mara baada ya kuzaliwa na kuanzishiwa matibabu mapema. CHAMUHIMU NA CHA KUJIFUNZA HAPA -unapotaka kupanga uzazi ama kubeba mimba kwa lengo la kupata mtoto ni vyema ukapata ushauri wa kitaalamu, elimu ya awali kabla haujabeba ujauzito ili uweze kujua namna ya kuitunza mimba, Aina gani ya vyakula utumie katika umri gani wa ujauzito, shughuli gani ufanye na zipi usizifanye katika kipindi hicho Cha ujauzito, lakini pia uweze kufahamu juu ya dalili za hatari kipindi Cha ujauzito na hata namna ya kumtunza mtoto Mara baada ya kuzaliwa. -Usipuze kwenda KLINIKI ya mama na mtoto kwani kuna mengi mazuri ya kujifunza. YOHANA MWAZEMBE 0764108196 kwa ushauri/Elimu ya kiafya

31/05/2022

Elimu ya uzazi ni muhimu Sana kwa jinsia zote mbili, baadhi ya matatizo mengi ya mfumo wa uzazi kwa wanawake husababishwa na wanaume, ingawa badhi ya wanaume huwa mabali na wengine hukataa kabisa kujihusisha na suala la kujifunza Afya ya uzazi na kudhania kuwa ni jukumu la wanawake pekeyao, kitu ambacho siyo kweli Wala si haki na hii ni kutokana na kukosa Taarifa sahihi, ushauri ama elimu Bora ya uzazi. Tambua jukumu ni letu sote kwa Afya Bora ya uzazi

Want your practice to be the top-listed Clinic in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Mbeya City
Mbeya