DRAC unit
Funny page ππ
25/11/2024
π₯ Mpaka mda huu huyu jamaa anakuja kuwa tishio sana kwenye mpira wa bongo, ameanza na kukataa mastaa kwenye timu yake π
"Kwenye timu yangu sina mchezaji mashuhuri (Staa) kuliko mwingine. Wachezaji wote nawapa haki sawa kwa kuzingatia juhudi zao kwenye uwanja wa mazoezi. Ili tushinde lazima wachezaji wawe na umoja. Natambua ubora wa kila mchezaji lakini jambo la muhimu kwangu ni namna gani mchezaji anatumia uwezo wake kuipa timu matokeo" Sead Ramovic
25/11/2024
π₯ Unaambiwa kocha mpya wa YYoung Africans Sports Clubni kocha pekee kwenye ligi ya NBC ambaye anaweza kucheza nafasi yoyote dimbani....
FFollowers
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbeya
Kyela