AFYA BORA
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA BORA, Medical and health, MKWAWA, Iringa.
Kutoa huduma ya Afya,kwa kutoa ushauri na kuuza dawa zitakazo tibu shida mbalimbali za Afya,ikiwemo shida za Uzazi,Mfumo wa Damu,Mfumo wa chakula,na shida nyingine zote,Mahali popote Tnzania.
11/01/2022
HORMONE IMBALANCE(Vichochezi vya mwili kutokua sawa).
::::::;Hii ni hali ya mwili ambapo vichochezi(hormone)vinavyo sababisha matokeo mbali mbali katika mwili hasa vichocheo vya uzazi,kutokua sawa mwilini,hivo kudababisha shughuli mbali mbali za mwili kuenfeshwa katika hali isiyokua wa kawaida.
:::::::;Hali hii huweza kusababishwa na matumizi ya ovyo ya madawa mbali mbali ya hospitali,ulaji mbaya wa vyakula mbali mbali,na matumizi ya baadhj ya vitu vyenye kemikali nyingi,kama vile mafuta ya kupakaa,vyakula vya kusindikwa n.k.
::::::::;Madhara ya hali hii katika mfumo wa uzazi ni mengi mnoo,kama ifuatavyo.
1)Kutokwa na damu nyingi kupitiliza wakati wa hedhi.
2)Kua na mpangilio mbovu wa hedhi,tarehe kubadilika badilika
3)Mirija ya uzazi kuziba au kujifunga funga
4)Uke kuwa mkavu.
5)Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
6)Kuhisi na kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
7)Hivyo kupeleke UGUMBA.
:::::::;Tatizo hili linatibika kwa kutumia virutubisho lishe ambavyo huondoa tatizo jili kabisaaaaa,,
:::::::;TUMIA FEMICARE ndo mkombozi wako.Pia pata ushauri wa kiafya bureeeee kabisa.
11/01/2022
Rejesha furaha yako,Tumia virutubisho lishe kuondoa shida za uzazi.
FEMICARE ndo furaha ya MWANAMKE.
10/01/2022
Dalili kuu za fangasi wa ukeni ni
1)Kuhisi muwasho sehemu za siri,yaweza kuwa sehem za nje au ndani.
2)kutokwa na uchafu sehemu za siri wenye mfano wa waziwa mgando.
3)kutokwa na vipele vidogo dogo sehem za siri na maeneo ya karibu.
4)Uke kuwa mkavu
5)Kupata maumivu wakati wa kujamiiana.
Tatizo hili limekuwa ni sugu mno kwa wanawake wengk,kutokana na tatizo hili kujirudia mala kwa mala licha ya matibabu mbali mbali.Usugu huu hutokana na matibabu mabovu na matumizi mabovu ya madawa mbalimbali yatibuyo shida hiyo.
Ipo suluhisho,Vipo virutubisho lishe ambavyo ni kiboko ya usugu tatizo hili.Virutubisho lishe vina uwezo mkubwa wa kuondoa usugu wa gonjwa hili na kufanya kutokujirufia tena.
TUMIA VIRUTUBISHOLISHE KWA UHAKIKA WA AFYA YAKO.
10/01/2022
Je wajua kua UTI na FANGASI SUGU kwa wanawake zinatibika
Pata huduma ya Elimu ya Afya buree,na huduma ya Matibabu ya Uhakika
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
MKWAWA
Iringa