Classroom
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Classroom, Education, Handeni.
22/11/2019
Katika mtaala mpya wa elimu kuanzia darasa I-VI,,umejikita Katika ujuzi yaani uwezo wa kutenda Kwa kile alichofundishwa mwanafunzi. Ushauri Kwa walimu wenzangu tufundishe watoto Kwa Kwa kutumia mbinu nzuri ili tuweze kufikia malengo yetu tuliyojiwekea.
Je mtoto huyo atakuwa na uelewa mzuri darasani?? Toa maoni yako.
Mabaliko ya mtaala wa elimu ya Tanzania una manufaa yake na changamoto zake,,moja ya manufaa ni kumjenga mtoto kuwa na uwezo wa kutenda zaidi katika ujifunzaji wake,, ila changamoto ni upatikanaji wa baadhi ya vifaa vya kufundishia na kujifunzia. pia naomba ufahamu kuwa watoto ambao kwa sasa wapo darasa la nne wataishia darasa la sita yaani hakutokuwa na darasa la saba.
Kisomo chenye manufaa ni kile Kisomo ambacho kitamjenga mtu kuwa na uwezo wa kutenda kile alichojifunza na hatimaye kuweza kujitegemea kiuchumi.
MABADILIKO YA MTAALA Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefanya mabadiliko ya mtaala wa elimu ya msingi Tanzania,,,, Ambapo katika mtaala huo unaonesha kuwa elimu ya msingi itakuwa na madarasa kumi (10),, yaani darasa la I-VI na kidato cha I-IV. Ufafanuzi ni kuwa Mtoto atasoma darasa la kwanza hadi la sita, kisha ataendelea na ngazi ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne, hivyo jumla ya madarasa yanakuwa kumi (10).tutaendelea na hatua inayofuata......
Napenda kuwakaribisha wadau mbali mbali katika page yangu ya classroom ili kuweza kupata mambo yanayohusiana na elimu.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Handeni