Royal Agro-school
sponsored by AmoxEnterprises
Unapenda kula???
Unasuburi nini???
๐๐๐๐๐???
17/12/2023
Hapa lazima kilimo kihusike kuokoa uchumi wa kizazi cha Leo
30/11/2023
What do you think of this?? Drop your comment๐๐
I was like to give up๐๐juu ya viwavi jeshi
08/05/2023
Mimi ni kilimo, kilimo ni mimi๐พ๐ป๐ฑ
Baada ya palizi la kwanza, mahindi hushambuliwa na wadudu aina ya viwavi ambao huharibu majani na kiharibu mmea wa hindi kabisa,,hivyo mkukima unashauriwa kupulizia dawa ya kuulia wadudu hao ili kuruhusu mahindi yako kukua kwenda hatua ya pili ya kuzaa pingili za mmea wake๐๐usikose post zinazofata zitazohusu matumizi ya chemikali za kilimo...
Katika kilimo cha mahindi,, unashauriwa kutumia mbolea ya DAP wakati wa kupanda,UREA/NPK wakati wa kukuzia mahindi zaidi UREA ni nzuri kwenye udongo wa kichanga Kwa sababu in madini mengi ya phosphorus ambayo hupotea sana kwenye udongo wa aina hiyo...unaweza kuweka mbolea ya kukuzia kufikia wiki ya Tano baada ya kupanda..
Kwa kawaida kilimo huanza Kwa mikakati ya namna ya kuendesha aina ya kilimo na zao unalohitaji kupanda, muhimu zaidi ni kuweka sawa bajeti ya mradi Toka mwanzo wa mradi mapka hatua ya kuvuna.
Hii husaidia zaidi kufahamu mwenendo wa mradi na faida za mradi baada ya mavuno
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Geita