MC Rhevan

MC Rhevan

Share

Do you want your guests to remember your event for the right reasons, or do you risk having your eve

Photos from MC Rhevan's post 12/04/2025

UZINDUZI WA BARAZA LA FAMASIA

Mgeni Rasmi Mh. Jenista Mhagama Wariri wa Afya katika Uzinduzi wa Baraza la Famasia amesisitiza weledi na ubunifu kwa kwa wajumbe wapya wa Baraza ili kuwa na tija kwa sekta ya dawa nchini.

10/04/2025

On Site Meditation. Thank You Got For Making Our Harambee Successful

Photos from MC Rhevan's post 10/04/2025

HARAMBEE KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO KITERERE.

Tunamshukuru MUNGU kwa kufanikisha HARAMBEE yetu zaidi ya Shilingi Millioni Ishirini na MojaFedha Tasimilu za Kitanzania zilipatikana kwa ajili ya Ka*i ya MUNGU.

Nitumie wasaa huu kuwashukuru Sanaa Ndugu, Jamaa na Marafiki wote walioungana pamoja nasi kufanikisha kazi hii ya Mungu. MWENYEZI MUNGU AENDELEE KUWABARIKI KILA SIKU.

08/04/2025

Zimebaki siku NNE TU. Washereheshaji wote Tanzania tukutane Arusha.

Usikose fursa hii ya kushiriki kongamano kubwa la kipekee na ziara ya utalii Arusha 2025.

Photos from MC Rhevan's post 06/04/2025

KONGAMANO LA WASHEREHESHAJI - ARUSHA

Washereshaji wote Tanzania tunakutana Arusha na Mheshimiwa Waziri Mkuu k**a MGENI RASMI na Mwenyeji wetu Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa Ajili ya kujiongezea uwezo na kuwa na weledi katika utendaji kazi.

Asanteni Sanaa Viongozi wetu kwa kutuheshimishisha WASHEREHESHAJI TANZANIA. Baraza la Sanaa Tanzania BASATA .tanzania k**a Mratibu na Msimamizi wa shughuli zetu za Wasanii Tanzania watakuwepo pamoja na wadau wengine.


@mc_chinaa

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Makole/Dodoma
Dodoma