Shule Tech
Shule Tech is an e learning mobile application for Tanzanian students. Get it on Playstore Now
12/05/2026
Fursa kwako mwalimu , karibu utumie jukwaa letu la Shule Tech kuweka content zako na kuwawezesha wanafunzi kuzitumia / kujifunza kupitia content zako.
11/04/2025
LIKIZO Hii mpatie mwanao app ya shule tech iliyopo playstore aweze kurudia masomo aliyosoma darasani kwa njia ya video kutoka kwa walimu wenye uzoefo.
Ongeza uwezo wa mtoto wako kujiamini kwa kujisomea mwenyewe kupitia app yetu hii ya shule tech.
Nenda Playstore andika shule tech kisha i download ,jisajili anza kusoma .
PIA SOMA VITABU MBALIMBALI KUPITIA APP YETU,Vitabu vya mapishi ,teknolojia nk.
Ikiwa una swali au maoni basi tupigie kwa 0718 660 882 karibu sana.
26/01/2025
Mahubiri haya yanakujia kutokea hapa nchini Kenya.
Nasi team nzima ya shule tech tutakuletea matangazo haya kwa siku zote kuanzia leo Tarehe 26/01/2025 hadi Tarehe 8/1/2025.
π΄π »π Έπ π ΄ : LIPO TUMAINI || TURKANA KENYA || SIKU YA PILI
14/12/2024
Hitimisho la Mkutano wa wana Taaluma na wajasiriamali ATAPE.
#LIVE : ATAPE MINI RETREAT CTF - MHUBIRI NI PR PAUL SHIGELA 14/12/2024 Matangazo ya moja kwa moja kutokea hapa kanisa la Dodoma Kati ,ni katika mkutano wa wana ATAPE kwa field ya kati mwa Tanzania. Mnenaji mkuu ni Pr Paul Shigel...
23/11/2024
https://youtube.com/live/95xLTFHMXfs
#LIVE: JUMA LA UWAKILI DODOMA KATI SDA- IBADA KUU Karibu katika matangazo haya ya moja kwa moja kutoka hapa kanisa la waadventista wa Sabato Dodoma Kati ikiwa ni juma la uwakili KWA MWAKA HUU 2024.
05/04/2024
Mapishi note yanapatikana kiganjani mwako kupitia App ya Shule Tech.Ipakue Leo App ya Shule Tech uwe nayo kwa simu yako. Kwa mawasiliano zaidi 0718 660 882
14/03/2024
Mfumo wetu wa Shule Tech unasaidia katika eneo la usimamizi wa shule kwa kurahisisha
i)Upangaji wa matokeo ya mitihani kwa shule yako,
ii)Mhudhurio ya wanafunzi,
iiii)Utoaji wa report kwa mzazi,
iv)Usimamizi wa Fedha kwa kutunza kumbukumbu zote za malipo ya Ada nk.
Tunakusaidia kutatua tatizo la kuhifadhi kumbukumbu zote muhimu za shule yako kwa kukupatia mfumo wa Kompyuta unaokuwezesha kupata taarifa sahihi ukiwa mahali popote na muda wowote.
Ili kuweza kuupata mfumo huu wa Shule Tech fika ofisini kwetu leo Dodoma mjini stendi kuu ya mabasi ghorofa ya kwanza au tupigie leo tukutembelee shule kwako. 0718 660 882 /0718666752 au 0620410814
https://shuletech.co.tz
13/03/2024
Taarifa zikiwa kwenye makaratasi ni rahisi kupotea na ni ngumu kuzipata kwa uharaka pale zinapohitajika.
Tumia mfumo huu wa computer wa Shule Tech ili kuweza kukwepa tatizo la upotevu wa data au taarifa .Mfumo huu hukuwezesha katika kusimamia shule yako kwa upande wa matokeo ya kitaaluma pamoja na usimamizi upande wa kifedha.
Tupigie simu leo 0718660882 au 0620410814 au fika ofisini kwetu nane nane stendi kuu ya mabasi Ghorofa ya kwanza.
Karibu sana.
14/02/2024
Taarifa zikiwa kwenye makaratasi ni rahisi kupotea na ni ngumu kuzipata kwa uharaka pale zinapohitajika.
Tumia mfumo wetu leo wa Shule Tech ili kuweza kukwepa tatizo la upotevu wa data au taarifa .
Tupigie simu leo 0718660882 au fika ofisini kwetu nane nane stendi kuu ya mabasi Ghorofa ya kwanza.
Karibu sana.
12/02/2024
04/01/2024
Soma masomo ya Science kupitia Shule Tech app ipakue usome popote ulipo..
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the school
Telephone
Address
Dodoma
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 22:45 |
| Tuesday | 08:00 - 22:45 |
| Wednesday | 08:00 - 22:45 |
| Thursday | 08:00 - 22:45 |
| Friday | 08:00 - 22:45 |
| Sunday | 08:00 - 22:45 |