KFA Sports

KFA Sports

Share

FOOTBALL FACTS TO UNDERSTAND THE INDUSTRY

29/05/2024

Itakuwa biashara nzuri kwa Simba

Klabu ya Supersports United ya Afrika kusini inawania saini ya Mchezaji wa klabu ya Simba SC, Leandre W***y Onana ambaye ni Raia wa Cameroon ili ajiunge nao kuelekea msimu ujao.

Ripoti zinaeleza kuwa tayari mazungumo yamefanyika huku klabu ya Simba SC ikiwa tayari kumuachia lakini lazima biashara ifanyike na wameweka kiasi cha Rand milioni mbili (2) sawa na zaidi ya Shilingi milioni (280) za Kitanzania ili wamuachie Mchezaji huyo waliyempata kutoka katika klabu Rayon Sports ya Rwanda.

Toa maoni yako

23/05/2024

Lucas Paqueta:
Nyota wa West Ham ashtakiwa na FA kwa madai ya kukiuka sheria za kamari
Kiungo huyo raia wa Brazil ambaye amekuwa akihusishwa na tetesi za kuhamia Man City, amekanusha madai hayo na kuahidi kusafisha jina lake.

23/05/2024

🔴⚪️ | Arsenal ready £60m bid for RB Leipzig striker Benjamin Sesko(24), per 🇸🇮 . However the striker should decided where he is staying in Leipzig though Chelsea also interested in RB Leipzig's striker

23/05/2024

Football facts worldwide debate 🔥🔥

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Arusha