Time TV.

Time TV.

Share

Hustle For Success

06/09/2025

Tazama sabaya alichozungumza baada yakukatwa jina mbele ya baba yake mkoani Arusha ,apongeza mchakato wa ccm

06/09/2025

Rostam aweka wazi kuhusu yaliyokuwa yakiongelewa yeye kumiliki mgodi

06/09/2025

Magufuli aliniambia nimekuchunguza na hukuniunga mkono kwwnyw uchaguzi wa mwaka 2015

06/09/2025

Rostam aziz afunguka alivyoitwa na magufuli nakuulizwa kwanini hamiliki mgodi na nimkandarasi wa mda mrefu

05/09/2025

Tazama goli la Taifa Stars dhidi ya Congobrazaville

05/09/2025

Tazama Goli la Tanzania

05/09/2025

Taifa Stars dhidi ya Congo Brazzaville wakipambana uwanjani

05/09/2025

Ngoma ngumu Congo Brazzaville dhidi ya Tanzania

05/09/2025

Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.

05/09/2025

Hali ya kushangaza imeibuka katika mtaa wa Simanjiro, kijiji cha Sokon 2, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya kijana mmoja anayefahamika kwa jina la [JINA], ambaye pia ni msimamizi wa moja ya kampuni iliyopo jijini Arusha, kukutwa akiishi katika mazingira ya yakutatanisha . Ndani ya chumba chake alichokodisha, zilikutwa ndoo zilizojaa mikojo na vinyesi pamoja na vifaa vingine vya matumizi ya kila siku,

‎Akizungumza na Time TV, kijana huyo alieleza kuwa kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa amekuwa akijisaidia ndani ya chumba hicho anacholala, kwa sababu ambazo hakuzieleza kwa kina. Alikiri kuwa hajawahi kusafisha chumba hicho tangu aanze kukaa hapo, jambo lililosababisha harufu kali na kulalamikiwa na majirani waliolazimika kutoa taarifa kwa uongozi wa mtaa. Tukio hili limeibua maswali mengi kuhusu afya ya akili ya kijana huyo pamoja na usimamizi wa nyumba hiyo ya kupanga.

05/09/2025

Polepole azungumza na watanzania

Want your business to be the top-listed Media Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Arusha