Time TV.
Hustle For Success
Tazama sabaya alichozungumza baada yakukatwa jina mbele ya baba yake mkoani Arusha ,apongeza mchakato wa ccm
Rostam aweka wazi kuhusu yaliyokuwa yakiongelewa yeye kumiliki mgodi
Magufuli aliniambia nimekuchunguza na hukuniunga mkono kwwnyw uchaguzi wa mwaka 2015
Rostam aziz afunguka alivyoitwa na magufuli nakuulizwa kwanini hamiliki mgodi na nimkandarasi wa mda mrefu
Tazama goli la Taifa Stars dhidi ya Congobrazaville
Tazama Goli la Tanzania
Taifa Stars dhidi ya Congo Brazzaville wakipambana uwanjani
Ngoma ngumu Congo Brazzaville dhidi ya Tanzania
Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.
Hali ya kushangaza imeibuka katika mtaa wa Simanjiro, kijiji cha Sokon 2, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya kijana mmoja anayefahamika kwa jina la [JINA], ambaye pia ni msimamizi wa moja ya kampuni iliyopo jijini Arusha, kukutwa akiishi katika mazingira ya yakutatanisha . Ndani ya chumba chake alichokodisha, zilikutwa ndoo zilizojaa mikojo na vinyesi pamoja na vifaa vingine vya matumizi ya kila siku,
Akizungumza na Time TV, kijana huyo alieleza kuwa kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa amekuwa akijisaidia ndani ya chumba hicho anacholala, kwa sababu ambazo hakuzieleza kwa kina. Alikiri kuwa hajawahi kusafisha chumba hicho tangu aanze kukaa hapo, jambo lililosababisha harufu kali na kulalamikiwa na majirani waliolazimika kutoa taarifa kwa uongozi wa mtaa. Tukio hili limeibua maswali mengi kuhusu afya ya akili ya kijana huyo pamoja na usimamizi wa nyumba hiyo ya kupanga.
Polepole azungumza na watanzania
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha