Master A

Master A

Share

KARIBUNI KWA MATANGAZO BEI YETU NI NAFUU SANA

WHATSAPP NAMBA +255756669350 GOD FIRST

15/01/2026

DEPรš ni Mwananchi๐Ÿ”ฐ

12/01/2026

๐’๐“๐€๐‘ ๐๐Ž๐˜ amefikaโญ๏ธ๐Ÿ‘ฆ๐Ÿพ

Photos from Master A's post 13/12/2025

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani [FIFA], Limemchagua Rais wa Klabu ya na Mwenyekiti wa Umoja wa vilabu Afrika [ACA], Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa Wataalam watakaofundisha kwenye Kongamano kubwa la Mpira litakalofanyika Doha, Qatar, siku ya kesho, Desemba 14,2025.

Eng. Hersi, amepangiwa na FIFA kufundisha kwenye mada ya KEY ELEMENTS FOR CLUB SUCCESSFUL TRANFORMATION [ MFUMO WA MABADILIKO YA KLABU].

Miongoni mwa Wataalam wengine wa mpira Duniani watakaozungumza kwenye Kongamano hili ni Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, Roberto Di Mateo, Dennis Wise, Alexander Pato, Eric Abidal na wengine kibao

Eng Hersi Said ndiye mtaalamu pekee wa Mpira kutoka Afrika aliyepata nafasi ya kufundisha Kwenye Kongamano hilo.

08/12/2025

Mo Salah:

"Ni wazi, kuna mtu anataka nibebe lawama zote, hii haikubaliki, sijui ni kwanini hali hii imetokea kwangu.

โ€œKuhusu hatma yangu, tutaona kitakachotokea mbeleni lakini nikienda Anfield nitawaaga mashabiki wakati nikielekea kwenye michuano ya AFCON kwasababu sijui kitakachotokea nikiwa huko"

02/12/2025

TAARIFA KWA UMMA.

28/11/2025

Kikosi kazi dhidi ya JS Kabylie ๐Ÿ”ฐ๐ŸŸค

Photos from Master A's post 24/11/2025

๐’๐๐”๐€๐ƒโžก๏ธ๐Ÿ”ฐ

Dar es Salaam | Dubai | Algiers ๐Ÿ›ซ

19/11/2025

๐Ÿšจ BREAKING:

Young Africans star Clement Mzize has been crowned the 2025 CAF Goal of the Year winner! ๐Ÿ’ซ๐Ÿ”ฅ

He couldnโ€™t be present tonight due to injury, but he sent in a heartfelt video message to thank everyone who believed in him.

A special moment for Tanzanian football. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ’›๐Ÿ’š

09/11/2025

YANGA ITAKAYOCHEZA NA ALAHLY NDIYO HII WAKUU???
AU KUNA NYINGINE??

09/11/2025

Kikosi kazi dhidi ya KMC FC๐Ÿ”ฐ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ

05/11/2025

Ratiba ya michezo ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

04/11/2025

Young Africans Sports Club

Wananchi tunaanzia hapa tukiwa nyumbani dhidi ya As Far Rabat.Kamata ratiba kamili.

1๏ธโƒฃ;Yanga SC Vs AS far Rabat (Tarehe 21 au 22 November 2025)

2๏ธโƒฃ;Js Kabylie Vs Yanga SC (Tarehe 28 au 29 November 2025)

3๏ธโƒฃ;Al Ahly Vs Yanga SC (Tarehe 23 au 24 January 2026)

4๏ธโƒฃ;Yanga SC Vs Al Ahly (Tarehe 30 au 31 January 2025)

5๏ธโƒฃ;As Far Rabat Vs Yanga SC( Tarehe 6/7 February 2026)

6๏ธโƒฃ;Yanga SC Vs Js Kabylie (Tarehe 13/14 February 2026)

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kilala
Arusha