Green herbs
Ni dawa asili yenye mchanganyiko wa mimea mbalimbali,hutibu Maradhi mbalimbali
23/08/2017
Kesho Ahamis tar 24/8/2017 kuanzia saa 2 asb hadi saa 3 asb Nitakuwa mgeni mwalikwa katika kituo cha Redio maarufu jijini Arusha Triple A katika kipindi cha Jambo Tanzania MADA ni shinda nyumba awamu ya pili kwa kusoma magazeti ya Global Publishers ambapo mshindi wa nyumba atapatikana tar 30/8/2017 Tune 88.5 Triple A FM na pia nitakuwa mgeni mwalikwa katika kituo cha Redio cha Sunrise jmos tar 26/8/2017,saa 6 mchana hadi saa 7 mchana Tune 94.9 sunrise Radio - CEo
25/05/2017
JE, WAJUA VISABABISHI NA DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA MAYAI(OVIDUCTS)?
Leo acha nikudokeze kidogo tu kwanza kwamba, mirija ya mayai inapoziba, yai hushindwa kukutana na mbegu ya mwanaume na kutungisha mimba.
Zipo aina mbili za uzibaji wa mayai :
1. Mirija kuziba upande wa mwisho jirani na vifuko vya mayai.
2. Kushik**ana Kwa mirija ya mayai kutokana na hali ya makovu ndani na nje ya mfumo wa uzazi na kusababisha sehemu ya vidole vya mirija vinavyoshika mayai kujikunja.
VISABABISHI
1.Maambukizi ndani ya kizazi hasa baada ya Kutoa au kuharibika Kwa mimba, ama baada ya kujifungua.
2. Hali ya uvimbe ndani ya mirija kutokana na maambukizi ya vimelea aina ya Chlamydia, nk.
3. Maambukizi ya viungo vya uzazi ambayo kitaalamu wanaita, "Pelvic Inflammatory Diseases (PID).
DALILI ZAKE
1.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
2. Kutokwa na uchafu ukeni aidha ukiwa na harufu au muwasho.
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
4. Siku za hedhi kuvurugika
5. Maumivu ya tumbo la chini upande wa kulia au kushoto
6. Kutokushika mimba
JE, NINI SULUHISHO?
Redeemer ndio suluhisho pekee la kuziba Kwa mirija ya uzazi.
James Sanitarium Clinic tunapatikana Arusha maeneo ya Kwa Mworombo. Kwa mawasiliano tupigie Kwa namba hizi: 0752 389 252/0712 181 626.
Dar esalaam Kigogo Polisi: 0768221346/0683221346/0658221346
Mtwara, Lindi, Songea,Ruvuma: 0752416341
Email: [email protected]
Karibuni sana, na Mungu awabariki
21/05/2017
LEO NAPENDA TUJUE VISABABISHI NA DALILI ZA UVIMBE KATIKA TISHU ZA VIFUKO VYA MAYAI(CYSTEDENOMA)
Katika karne yetu hii nikiangalia wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa, wahisipo dalili zozote za maumivu ya tumbo hasa sehemu ya chini ya kitovu, na kisha kuchukua uamuzi wa kwenda hospitali kupata vipimo, baadhi yao katika kadi zao za Kliniki utaona wanapata majibu k**a haya,"CYSTEDENOMA"
Hali hii kwa kawaida huwa ni uvimbe unaokuwa kwenye tishu za vifuko vya ,mayai ya mwanamke, nao husababishwa na kujaa kwa majimaji yenye kuvutikavutika. Uvimbe wa aina hii unaweza kuwa mkubwa hata kufikia inchi 12 au zaidi kwa upana.
DALILI ZAKE
Dalili za uvimbe huu huwa k**a ifuatavyo:
1. Matiti kuuma
2. Kupata hedhi zisizokuwa na mpangilio
3. Kutokupata ujauzito
4. Maumivu ya kichwa
5. Kuhisi maumivu sehemu za mbavu upande wa kushoto au kulia.
JE, NINI SULUHISHO LAKE
James Herbal Clinic tuna dawa za asili zenye mchanganyiko wa vyakula vya asili. Redeemer na Fresh Herb ni dawa nzuri tulizoziandaa kwa ajili ya matatizo katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Redeemer ndio suluhisho kamili la CYSTEDENOMA.
kWA mawasiliano tupigie namba zifuatazo:
Arusha: 0752 389 252/0712 181 626
Dar Kigogo Polisi: 0768 221 346/0683 221 346
Mikoa ya Mtwara, Lindi, Masasi na Songea, Wakala wetu yupo Ruvuma. Piga namba 0752 416 341
Karibuni sana ndugu wapendwa, Mungu awabariki.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the practice
Telephone
Website
Address
Morombo
Arusha
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 18:00 |
| Tuesday | 07:00 - 18:00 |
| Wednesday | 07:00 - 18:00 |
| Thursday | 07:00 - 18:00 |
| Friday | 07:00 - 18:00 |
| Saturday | 07:00 - 18:00 |
| Sunday | 07:00 - 18:00 |