Imara Tech
Ofisini kwetu ipo SIDO grounds, Arusha, Tanzania.
Imara Tech is a Tanzania-based social enterprise start-up that manufactures agricultural equipment for smallholder farms.
~~~~~~~~
Imara Tech ni kampuni mpya ya kutengeneza teknolojia ya mbalimbali.
04/06/2026
Today, we had the privilege of being visited by the together with other stakeholders such as and others from different countries to explore how we can collaborate with research institutions in commercializing innovations developed by these institutions. It has been especially encouraging to see how impressed the World Bank was with the efforts we are making. It is our hope that we will continue strengthening collaboration with various stakeholders to ensure that farmers gain greater access to these innovations 💪
———————————————————————————————
Siku ya leo tumefanikiwa kutembelewa na Bank Dunia wakiambana na wadau wenginr k**a vile TARI na wengineo kutoka ncho tofauti tofauti kuona ni jinsi gani tunavyoweza kushirikiana na taasisi za utafiti kubiasharisha bunifu zinazobuniwa na taasisi hizo. Imekuwa faraja zaidi kuona jinsi gani World bank walivyovutia na jitihada tunazochukua. Ni matumaini yetu tutazaidi kushiririkiana zaidi na wadau mbalimbali kuhakikisha wakulima wanazidi kufikia wa bunifu hizi💪
31/05/2026
Kanda ya ziwa tupo kwenye maonesho ya mifugo yanayofanyika Mkoani Shinyanga. Karibuni sana
MCT ikipiga Mtama Mweupe kwa ufanisi mkubwa! Angalia mazao yanavyotoka safi, uchafu unatoka kwake, na inapepeta vizuri sana **atafursa
29/05/2026
Imani ni kubwa sana kutoka kwa watanzania, tunamshukuru Mungu sana, weka oda yako mapema upate mashine yako kwa wakati.
28/05/2026
Mkurugenzi wetu amepokea ugeni ambao ni partners wetu kutoka na kuweza kufanya mazungumzo kuona jinsi gani tutaendeleza ushirikiano wa kikazi zaidi kati ya taasisi zetu.
Karibu Imara Tech!
🚜💰 MCT siyo mashine tu… ni chanzo cha kipato!
Kwa kutumia MCT ya Imara Tech, unaweza kupiga magunia 20 hadi 25 kwa saa moja.
K**a gunia moja ni Tsh 2,500, maana yake unaweza kuingiza hadi:
✅ Gunia 20 = Tsh 50,000 kwa saa
✅ Gunia 25 = Tsh 62,500 kwa saa
Mashine hutumia wastani wa lita 1 ya mafuta kwa saa tu.
Ukikokotoa mafuta ya Tsh 4,125 kwa lita, bado unabaki na faida kubwa sana. 🔥
Na zaidi ya hapo, mashine inaweza kufanya kazi kwa zaidi ya masaa 4 mfululizo bila kuzimwa.
Hii ina maana unaweza kuingiza mpaka:
💵 Tsh 200,000 – 250,000+ kwa siku kutegemea kazi na eneo lako!
Hii ni fursa kwa mkulima na mjasiriamali wa huduma za mashambani.
📍 Imara Tech – K**ata Fursa.
**ataFursa
Bado unahangaika kutengeneza chakula cha mifugo? Hili sasa ndiyo sukuhisho Karibu **atafursa
23/05/2026
Mafunzo ya mashine yakiendelea mkoani Dodoma kwa wakulima viongozi kutoka mikoa ya Iringa na Morogoro yaliyoandaliwa na . Asante sana AKM kwa ushirikiano.
Karibu sana Imara Tech, tukupatie mashine ya kisasa inayokuwezesha kupiga, kupeta na kupukuchua aina 9 ya mazao
Technology ni Imara Tech **atafursa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
SIDO Plot 42, Unga Limited
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:30 |
| Tuesday | 09:00 - 17:30 |
| Wednesday | 09:00 - 17:30 |
| Thursday | 09:00 - 17:30 |
| Friday | 09:00 - 17:30 |
| Saturday | 09:00 - 17:30 |