boundlesslifeministry
A place to learn and know more of your God. Commit to serve Him in a more intimate way. Also a place to bring more to Christ. Prayes _ Intercession
You have a need and you need prayers for God's intervention, you can contact us through available means
Bible citation
Yohana 6:1-14
Bible citation
John 4:46-54
Bible citation
Yohana 2:1-11
Kanuni sahihi zitakupa kutawala maisha yako. Kanuni za kiroho zina nguvu juu ya kanuni za kawaida. Tumia kanuni sahihi kwa wakati sahihi upate matokeo sahihi
Matarijio yanapaswa yakusukume uwaze, utende na uzungumze kwa namna fulani. Matarajio ni hamasa ya utendaji.
Malengo mazuri uliyonayo hayatatokea yenyewe, una sehemu ya kufanya kwa imani kwa msaada wa Mungu. Mungu amekupa kila unachohitaji ndani ya Kristo.
Amekupa kanuni - kanuni ndio zunaleta uhakikisho kuwa kitu kitatokea kwa kuwa kanuni hazibadiliki.
Fanyia kazu kanuni za ufalme kuzalisha uhalisia wa yale ambayo unayatamani.
Chochote utakachopanda kwa imani, utavuna. Imani inabebwa na matendo - tamka, zungumza, tenda kwa hekima sawasawa na malengo yako.
Matarajio ni kile ambacho una uhakika kitatokea kwa sababu ya kanuni uliyotumia.
Matarajio ni kile ambacho una uhakika kitatokea kwa sababu ya kanuni uliyotumia.
Ili utawale maisha yako lazima ujue unataka maisha yako yaweje. Mfalme/mtawala ndie anayeamua hatima ya maisha yake. Mtumwa anaishi kulingana na mazingira yake, hana uchaguzi.
Unapaswa kuwa na picha ya aina na kiwango cha maisha unayotaka. Lazima uweke malengo!
Mungu amekupa uwezo huo wa kutawala maisha yako mwenyewe, utumie kwa kuwa intentional about your life!!
Kinywa chako ni usukani wa maisha yako. Katika Marko 11: 22,23 Yesu anafundisha kanuni ya kuwa chochote utakachotamka kwa imani kitatokea. Matamshi ya imani yana nguvu ya kuleta matokeo yaliyokusudiwa.
Ili uendeshe maisha yako katika mwelekeo sahihi ni muhimu ujifunze kuishi kwa makusudio (intention) na matarajio (expectation).
K**a mtawala unawajibu wa kuamua mwelekeo wa maisha yako na kutumia kinywa chako kuyapeleka maisha yako kwenye huo mwelekeo kwa imani.
Mambo yatakayokusaidia kuufanya mwaka huu uwe tofauti na miaka iliyopita.
* Lazima ufanye mambo kwa namna tofauti la sivyo hautaona tofauti kwenye maisha yako.
Wewe umeumbwa ili kuutawala ulimwengu wako na si kutawaliwa.
Ndani ya Kristo unatawala katika uzima. Warumi 5:17
Unatarajiwa utawale mazingira, hali, matokeo na ulimwengu wako.
Mahali pa kuanzia ni kutawala nafsi yako. Ukiweza kutawala nafsi yako utaweza kutawala maisha yako.
Uwezo wa kutawala tayari uko ndani yako, ni wajibu wako kuujenga!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the place of worship
Telephone
Website
Address
Arusha