tgc_arusha
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from tgc_arusha, College & University, Arusha.
22/08/2024
Ruby Zoisite Trophy: A Captivating Fusion of Passion and Earth’s Vibrant Elegance
08/08/2024
27/07/2024
Pongezi kwa Bi. Lilian Petro! (Mkufunzi katika Kituo Cha Jemolojia Tanzania-TGC) kwa kutunukiwa tuzo ya Malkia wa Nguvu katika Sekta ya Madini "Uongezaji thamani Madini" Umeonyesha mfano mzuri kwa wanawake kuchangamkia Fursa mbalimbali zilizopo katika Sekta ya Madini Endelea kuhamasisha wengine! 🌟
17/07/2024
12/07/2024
Jewelry making (pendant with amethyst )
09/07/2024
*NITAENDELEZA ALIPOISHIA MAHIMBALI- MHANDISI SAMAMBA*
*Asisitiza ushirikiano, amani, upendo kufikia matarajio ya Sekta*
*MAHIMBALI amweleza mlango uko wazi kutoa ushauri kwa Sekta*
*STAMICO Yasema uongozi wake ulikuwa wa Manufaa Makubwa kwa Shirika*
*Dodoma*
Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema ataendeleza pale alipoishia aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Kheri Mahimbali kutekeleza majukumu na kusimamia masuala yote yanayohusu Sekta ili kuhakikisha malengo tarajiwa ya Taifa kupitia Sekta ya Madini yanafikiwa.
Ameyasema hayo Julai 9, 2024 katika hafla yupi ya makabidhiano ya Ofisi ya Katibu Mkuu baada ya kuteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu kushika wadhifa huo wa kuisimamia Wizara ya Madini.
Ili kufikia matarajio hayo, Mhandisi Samamba amewataka Watumishi wote wa Wizara na Taasisi zake kufanya kazi k**a timu moja huku akihimiza upendo, ushirikiano, amani na kuoneana huruma kuhakikisha malengo ya Wizara ya kukusanya Shilingi Trilioni Moja katika Mwaka wa Fedha 2024/25, utekelezaji wa vipaumbele vyake, utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya Mwaka 2050 na utekelezaji wa Vision 2030: Madini ni Maisha& Utajiri yanafikiwa.
Mhandisi Sambamba ametumia fursa hiyo kumshukuru na kumpongeza aliyekuwa Katibu Mkuu Kheri Mahimbali kutokana na usimamizi na uongozi wake uliopelekea maendeleo na mafanikio kwenye Sekta ya Madini ikiwemo ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali ya kiasi cha Shilingi Bilioni 753 katika Mwaka wa Fedha 2024/25 na kueleza kwamba, ni mafanikio ambayo akiwa Katibu Mtendaji wa Tume wa Madini hayakuwahi kufikiwa.
‘’Tunayo majukumu mbele yetu kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la taifa kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025 au kufika mapema kabla ya mwaka huo. Katibu Mkuu Mahimbali ametuacha na asilimia 9.1 ni mafanikio makubwa sana, tuna asilimia 0.9 iliyobaki tuendelee kujiamini tukamilishe. Lakini ili kufikia hapa, kila mmoja kwenye eneo lake awasimamie watu wake vizuri,’’ amesisitiza Mhandisi Samamba.
Kwa upande wake, Mahimbali akizungumza katika kikao hicho, amemweleza Mhandisi Samamba kuwa anayo timu nzuri ya kumsaidia kutekeleza majukum
09/05/2024
Posted • /25
08/05/2024
Posted • /25
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha