RAJAB Rashid
A journalist, a writer and poet and currently a news editor at Nuru digital media and Nuru radio
06/12/2025
I've just reached 500 followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each and every one of you. 🙏🤗🎉
01/07/2025
Kumekucha nikukumbushe tuu... Maisha huisha... Ishi vyema na watu...
Nottingham Forest inafuatilia James McAtee wa Manchester City na Liam Delap wa Ipswich. Nottingham Forest inapanga kufanya usajili wa wachezaji watano katika dirisha la usajili la majira ya joto, huku Delap na McAtee wakiorodheshwa juu katika orodha.
SIKIKA
Serikali imepanga kuondoa maeneo 44 nchini yaliyoorodheshwa na tume ya kuwaajiri walimu -TSC ,katika orodha ya sehemu zenye mazingira magumu ya kufanya kazi.
Je unaunga mkono kuondolewa kwa marupurupu ya walimu wanaohudumu kwenye maeneo hayo magumu.
Longa nami upate kusikika
Tuma sauti ya maoni yako kupitia WhatsApp upate kusikika....
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Malindi
Mombasa