Lofty Matambo

Lofty Matambo

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lofty Matambo, Journalist, Kilifi.

Seasoned Award Winning Journalist in East Africa
~News Editor/Anchor - NMG/@NtvKenya
~Corporate/Social events MC/ Moderator
~Professional translator/interpreter
~Media & Communication Strategist
#MtotoWaMfalme #TheDuo

Photos from Lofty Matambo's post 14/06/2026

Uchonyi U Ghali

Photos from Lofty Matambo's post 14/06/2026

Pacha wangu amenipeleka Self Barbecue Lunch at Restaurant ,
Ambao hamna Fridah Mwaka - Your Favourite News Anchor mnaishi vipi? 😀😀

14/06/2026

The season is here, na si unajua hatuachwi nyuma siku zote.
dressed by Sportstyle Hub.
Ukitaka kupendeza k**a sisi, k**ata jazi yako pale. Sportstyle Hub.
Hizi Jersey ni Quality na Very affordable. Wakilisha timu yako tumsupport Mr. Vunulu mwenyewe Shaffie Zele - Commentary.
Fridah Mwaka - Your Favourite News Anchor

14/06/2026

Ayyoub Bouaddi, ana umri wa miaka 18 tu.
Alichokifanya mwanzo mwisho kimewashangaza waBrazil.

14/06/2026

So how was Vinícius Júnior picked as Superior Player of the Match?🤷‍♂️

14/06/2026

What a beautiful game this was.
FT Brazil 1-1 Morocco

Guys watch out this MOROCCO🔥🔥.

13/06/2026

Yaani World Cup ndo imeanza leo.

HT BRAZIL 1-1 MOROCCO.

Unaona itaishaje hii?

13/06/2026

IT'S A BABY BOY!!!

MY CRUSH!
Nilipoiona filamu yake ya kwanza 'Point of No Return' mwaka 2011(pale Bakarani, Kisauni, Mombasa kwenye kiBedsitter changu kimoja safii😀, na maridadi), nilimpenda sana Wema. Nilikuja kujua baadaye hiyo kitu ilikuwa inaitwa kucrushia mtu.
Wema alikuwa anaigiza k**a Dina(2008). Kidosho aliyelazimishwa kuolewa na mganga. Kwa ufupi Wema alikuwa crush wangu🤭.

WEMA!
Wema Isaac Sepetu.
Katika umri wa miaka 38(Wikipedia)ametangaza kubarikiwa na mtoto wake kutoka tumboni mwake, mtoto wa kiume.
Wema aligonga vichwa vya umaarufu Tanzania, Afrika Mashariki na Afrika nzima punde aliposhinda shindano na kutawazwa Bi Urembo Tanzania mwaka 2006.

Kisha akaiwakilisha TZ katika shindano hilo la ulimwengu nchini Poland mwaka uo huo wa 2006.
Wema ameigiza zaidi ya sinema 20 kwa lugha ya Kiswahili na pia Kingereza akiwa na waGhana na WaNigeria.
Baadhi ya Tamthilia matata alizohusishwa Wema na nguli wa uigizaji TZ mwenda zake Steven Kanumba ni: 'Family Tears', 'Red Valentine', 'White Maria' na zingine kochokocho.

Wema amekula na wakuu wa nchi, wafalme, mabwanyenye, waite walala heri ukipenda, ila alichokikosa ni kimoja tu: Mtoto. Mtoto wake mwenyewe. Ampakate, amuongoe, amchekeshe, amdekeze. Aitwe mama fulani.

Alikosa raha, akanuna roho, akavimba mashavu, akalia, kilio cha zaidi ya miaka 10. Hatimaye ameonekaniwa. Amebarikiwa. Heko dada Wema👏👏.

Kweli Mungu si Athumani. K**a amemkumbuka Wema, bado wewe. Hachelewi wala haji upesi. Amini, pokea muujiza wako leo.

Picha: Insta ya Wema

13/06/2026

Ametoka Chelsea alikoleta swara, amefika Morocco😀.
Matokeo yatakuwaje vile?

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Kilifi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Kilifi