Ris FM
Safina ya burudani
29/09/2024
11/09/2024
Ubabe wa nani mkali kati ya wasanii maarufu nchini Bongo Diamond platinumz na kigogo wa bongo fleva Ali kiba utabainika hivi karibuni.Iwapo CrownFm yake Ali kiba iliyozinduliwa machi mwaka huu itaipiku Wasafi FM yake Diamond Platnumz iliyozinduliwa mwakani 2018 miaka sita mbele ya Crown kwenye uungwaji wa wafuasi kwenye mitandao ya kijamii,basi Mfalme wa bongo fleva Ali K atabaki kidedea na kuwa jabali kwenye shughuli zima ya wafuasi yaani 'followers' ndani na nje ya Tanzania.
Mwijaku
Alikiba
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Mwinzila Mutua, Donald Chipkosia, Joseph Keter En Lalwat, Fred Wa Ngai Kwasakwasa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Tengeja Lane
Kericho