JESTV
"Your Source for News and Nurturing Upcoming Journalistic Talent, Wherever You Are." (Empowering Voices, Delivering News.)
22/10/2025
Muungano wa Upinzani (United Opposition) umekataa kauli na msamaha wa Gavana wa Nyeri, Mutahi Kahiga, kufuatia matamshi yake kuhusu kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga.
Msemaji wa upinzani, Dkt. Mukhisa Kituyi, amesema kauli za aina hiyo zinahatarisha umoja wa kitaifa na kusisitiza kuwa viongozi wanapaswa kudumisha viwango vya juu vya maadili katika usemi na mienendo yao.
22/10/2025
Waziri wa Kilimo, Mutahi Kagwe, amesema wakazi wa Kaunti ya Nyeri wanaomboleza pamoja na Wakenya wote kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, na akasisitiza kuwa hawapaswi kuhusishwa na matamshi yasiyo na staha yaliyotolewa na Gavana Mutahi Kahiga.
22/10/2025
Baraza la Magavana chini ya uongozi wa Mwenyekiti Ahmed Abdullahi, EGH, limemwondoa rasmi Gavana wa Nyeri, Mutahi Kahiga, kwenye nafasi ya Naibu Mwenyekiti dakika chache tu baada ya kujiuzulu kufuatia matamshi yake kuhusu kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga.
29/09/2025
🏛️ Gov’t to Register All Inmates Under SHA by Year-End
Correctional Services PS Salome Beacco says inmate enrolment is surging nationwide. She notes Meru now tops Kenya in HIV prevalence, linked to over 1,000 registered sexual offenders in local prisons a pressing public health alarm.
29/09/2025
⚖️ New Bill Targets False Wealth Declarations
Those giving false information on their assets during vetting for state or public jobs could face up to 5 years in jail or a Sh5M fine under a new Bill before Parliament.
29/09/2025
Thika Town MP Alice Ng’ang’a has boosted her investment portfolio after buying 13.6 million shares in Kenya Reinsurance Corporation. The purchase now ranks her among the top ten individual shareholders of the insurer.
29/09/2025
Kenya is going electric!
The government will spend Sh6.1B to set up 10,000 EV charging stations in 3 phases, starting with 17 towns along major highways. This move comes as electric cars hit 5,200+ on Kenyan roads by December last year. 🌱🇰🇪
22/09/2025
UPDATE: The Rural & Urban Private Hospitals Association of Kenya (RUPHA) has directed members to offer services to Social Health Authority (SHA) beneficiaries strictly on a cash basis, citing delayed and unsettled payments by the authority.
22/09/2025
UPDATE: President William Ruto has renewed calls for Africa’s inclusion in the UN Security Council, terming the current exclusion “unacceptable, indefensible, and a historic injustice” that must be corrected.
29/07/2025
Hon. Kipchumba Harold Kimuge has officially taken the oath of office as a nominated MP, replacing Treasury CS John Mbadi.
29/07/2025
Paul Makenzi and 92 others were arraigned in Mombasa over the deaths of followers found in mass graves. The state has levelled 238 manslaughter charges against them.
21/06/2025
Nairobi's environment chief Geoffrey Mosiria has blamed irresponsible waste disposal by residents and businesses for worsening flood conditions. “Indiscriminate dumping is choking our drainage,” he said, urging the public to shift from online complaints to active civic responsibility in flood prevention efforts.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Busia Town
Busia