AFYA BORA

AFYA BORA

Share

AFYA BORA provides health educational tips. AFYA BORA tunatoa vidokezo vya elimu tiba

06/01/2019

EXCESS ALCIHOL USE
Too much alcohol use has impact on your health. Increased risk of cardiovascular DISEASES, diabetes mellitus, cancers, low body immunity and affects child before born in pregnant mother. Drink responsibly and lower your risks
Emanuel Ulomi, M.D

24/10/2018

WORLD'S POLIO DAY

polio is preventable
Vaccine available

Without polio eradication efforts, more than 17 million people who are walkingtoday would have been paralyzed by the virus . We can’t stop now, let’s finish the job! /WHO 2018

13/06/2018

Cardiovascular diseases are still the world's largest killer.
This is how you can reduce your risk of heart attack and stroke((WHO)

01/04/2018

KUPATA SIKU KUSIKO KWA KAWAIDA KWA MWANAMKE/ABNORMAL UTERINE BLEEDING

Ni kutokwa na damu nyingi zaidi au kupata siku kusiko Kwa Kawaida ya mwanamke kutoka kwenye mfuko wa uzazi. Inaweza kutokea mad wowote katika mzunguko wa mwanamke hata katika siku zake.

Dalili zake:
1. Kupata damu nyingi kupita kawaida yake

2. Kupata siku zake Kwa zaidi ya siku 7

3. Maumivu makali ya tumbo la uzazi/ chini ya kitovu katika kipindi cha kupata hizo damu

4.kupata mabonge ya damu badala ya damu ya kawaida anayopataga siku zote

5. Kuvurugika Kwa mpangilio wa kuona siku zake

6. Kushindwa kupata mimba

7. Maumivu wakati wa tendo la ndoa

8. Uvimbe kwenye njia ya uzazi

VISABABISHI
1. Mimba.Wakati wa ujauzito mwanamke anaweza kutokwa na damu. Hii sio kawaida ya ujauzito hivyo moone daktari mapema.

2.Uvimbe katika mji wa uzazi/polyps au kwenye cervix

3. Saratani ya mji wa mimba au shingo ya uzazi. Hii huambatana na dalili k**a kushindwa kupata mimba

4. Maambukizi ya shingo ya uzazi/cervicitis

5. Kuvurugika Kwa homoni za kike/hormonal imbalnce

6. Vipandikizi cya kuzuia mimba/intrauterine devices

7. Matibabu Kwa njia ya homoni/hormonal replacement therapy. Hasa Kwa wenye umri ambao siku zao zilishakoma.

UCHUNGUZI
1.Uvimbe kwenye tumbo la uzazi
2. Damu
3. Ultrasound
4. Kuchukua kinyama Kwa ajili ya uchunguzi
5. Vipimo vya homoni

MATIBABU
Hutegemea na kisababishi.
Moon daktari akufanyie uchunguzi na kujadilina nawe juu ya matibabu yanayokufaa.

Photos from AFYA BORA's post 04/02/2018

SIKU YA SARATANI DUNIANI

Saratani hutokana na ukuaji usio wa mpangilio wa kawaida wa seli za mwili. Kuna vichocheo mbalimbali vinavyochangia k**a historia ya aratani kwenye familia au ndugu wa karibu, mionzi mkali, matumizi ya pombe nyingi Kwa mda mrefu, uvutaji wa sigara n.k

Saratani ya mapafu na tezi dume ni miongoni mwa saratani zinazoongoza Kwa wanaume Tanzania

Kwa wanawake saratani zinazoongoza ni Ile ya matiti na shingo ya kizazi. Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoongoza Kwa saratani ya shingo ya kizazi duniani.

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI/ CERVICAL CANCER
Husababishwa na kirusi kiitwacho Human Papiloma virus (HPV)
Huenezwa Kwa njia ya zinaa. Maambukizi hutokea mda mrefu mpaka dalili kuonekana.

Vichochezi vinavyoongeza hatari ya kupata maambukizi ni k**a ifuatavyo:
1. Kwanza ngono katika umri mdogo.

2. Maambukizi ya virusi vya UKIMWI

3. Kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja

4. Uvutaji wa sigara

5......
n.k

Dalili zake ni:
1. Kutokwa na uchafu/maji yenye harufu sehemu ya siri ya mwanamke

2. Kutokwa damu tofauti na zile za kawaida za kila mweZi Kwa mwanamke

3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa

4. Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa

Kulingana na kusambaa Kwa saratani dalili zifuatazo huweza kutokea pia

1. Kushindwa kukojoa vizuri au mkojo kutoka sehemu ya ukeni

2. Kuvimba miguuu au mguu mmoja

3. Kupata choo kigumu au damu kwenye choo na maumivu

4. Upungufu wa damu mara Kwa mara

5. Maji kwenye figo ( hydronephrosis) husababisha figo kushindwa kufanya kazi vizuri

6. Kupumua Kwa shida. Mapafu yanapoathirika

7. Maumivu sehemu ya chini ya mgongo Kwa mda mrefu mara nyingi huambatana na miguu kufa ganzi

n.k

KINGA
Chanjo ya kirusi cha HpV ndo njia ya uhakika zaidi

Njia nyingine ni kukwepa ngono katika umri Mdogo

Kuwa na mpenzi mmoja na mwaaminifu

Kupima mara Kwa mara, hii hufanywa na mtaalamu wa afya Kwa kuchukua majimaji kwenye shingo ya kizazi na kuyapima

Kutumia dawa za kuongeza KINGA ya mwili Kwa walioathirika na UKIMWI

Kutumia KINGA. Kinga k**a kondomu hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya zinaa.

MATIBABU
Hakuna matibabu halisi ya kuua kirusi cha HPV.
Matibabu hulenga kupunguza kusambaa na madhara zaidi ya saratani.
Shauriana na mtaalamu wako wa Afya(Daktari) atakusaidia matibabu yanayokufaa.

USIONE HAYA KUTAFUTA TIBA HISPITALINI K**A UNAZO DALILI. HAITIBIKI KWA DAWA ZA KIENYEJI

Cancer ‘vaccine’ eliminates tumors in mice 03/02/2018

CANCER VACCINE EXPERIMENTAL RESULTS

MAJARIBIO YA CHANJO YA SARATANI

Cancer ‘vaccine’ eliminates tumors in mice Activating T cells in tumors eliminated even distant metastases in mice, Stanford researchers found. Lymphoma patients are being recruited to test the technique in a clinical trial.

18/12/2017

Labour is very emotional period for a woman.
Women should be encouraged to have a companion of her choice present during labour and birth if cuture and health system allows

Some women like to have their husband or partner; others prefer a close family relative, friend, or a traditional birth attendant (TBA). Experiences from different settings have shown that the best person to have as a childbirth companion is often an older woman from the community, someone who has had children herself. However, encouraging the husband/partner to be more involved with the birth, where it is acceptable, may also be beneficial for the whole family.

Birth is a very emotional experience and for some people (especially the husband/partner) having more active involvement can make the whole process particularly special.

Companion

1.DO NOT encourage the woman to push.

2. DO NOT give advice other than that given by the health worker.

3. DO NOT keep the woman in bed if she wants to move around.

4. DO NOT administer any local herbs or medicine unless under health professional guidance .
(It is not our intention to offend anyone by images, they are used strictly for educational purposes only)

01/12/2017

Today is world's AIDS day,It is certain that ending the AIDS epidemic will mean so much to so many. It will mean zero new HIV infections, zero people dying of AIDS—and all people living with dignity and without fear of discrimination. Ending AIDS will mean celebrating birthdays instead of attending funerals.

But make no mistake, stigma, denial and complacency are still among us, putting us in danger of failing the next generation. We must join our hearts and our voices––together we are stronger.

The world is poised to end AIDS and if we stay true to our vision we will remember this as the day that a lifelong of dreams began to transform into reality.

Leo ni siku ya ukimwi duniani, ni dhahiri kwamba kutokomeza ukimwi kuna maana kubwa sana Kwa wali wengi. Maambukizi mapya sifuri, kutokomeza vifo,na watu kuishi Kwa utu bila hofu ya kunyanyapaliwa.Kutokomeza ukimwi kuna maana ya kusherehekea kuzaliwa badala ya kuhudhuria mazishi.

Usifanye makosa,unyanyapaa na kutokukubaliana na hali halisi bado kupo katika jamii zetu,huku kunatuweka hataruni na kuharibu kizazi kijacho.
Ni lazima tuungane pamoja--pamoja tunaweza.

Dunia nzima imehabarishwa kutokomeza UKIMWI, k**a tukiwa wakweli katika hili tutaikumbuka k**a siku ambayo ndoto zetu zilianza kutimia kweli

12/11/2017

Tukiazimisha siku ya kisukari duniani tarehe 14 novemba ni vema kutambua machache kuh6usu ugonjwa huu hatri ambao unaongezeka kwa kasi muongozi mwetu.chalisho hili linapatikani ktk mwanachi.

Ugonjwa wa Kisukari ni miongoni mwa magonjwa sugu yanayoendelea kuathiri afya za mamilioni ya watu wa nchi nyingi duniani ikiwamo Tanzania.

Ugonjwa huu hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo aina ya Insulin au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka au kushuka kwa kiwango cha sukari kwenye damu au hyperglycemia.



Aina za kisukari

Kisukari kimeanishwa katika makundi yafuatayo:

Kisukari Namba Moja

Hii ni aina ya kisukari inayowaathiri zaidi watoto na vijana. Aina hii hutokea iwapo seli maalum zinazotengeneza homoni ya insulin zijulikanazo k**a beta cells of Islet of Langerhans.

Iwapo tezi kongosho zitakosekana au zitaharibika kwa sababu yeyote ile, na hivyo kusababisha ukosefu kabisa au upungufu wa kichocheo hicho kwenye damu.

Mambo yanayoweza kusababisha uharibifu wa seli hizi katika tezi kongosho ni pamoja na kushambuliwa kwa tezi hiyo.

Mashambulizi katika kongosho huweza kufanywa na magonjwa yanayosababisha upungufu wa kinga ya mwili.

Uharibifu katika tezi kongosho hupelekea kukosekana kabisa kwa wa tezi ya insulin au huifanya tezi hiyo kuzalishwa kwa kiwango kidogo.

Wagonjwa wa aina hii ya kisukari huhitaji kupewa dawa za insulin kwa njia ya sindano katika maisha yao yoteili waweze kuishi. Ndiyo maana aina hii ya kisukari huitwa pia kisukari kinachotegemea Insulin au Insulin Dependent Diabetes Mellitus (IDDM)

2. Aina ya Pili ya Kisukari

Hii ni aina ya kisukari inayotokea zaidi ukubwani. Aina hii ya kisukari husababishwa na kupungua kwa ufanisi utendaji kazi wa homoni ya insulin.

Hali hii husababishwa na unene uliopitiliza yaani obesity, au hali ya kutofanya mazoezi kabisa (physical inactivity).

Kwa vile, katika aina hii ya kisukari, insulin huzalishwa katika kiwango cha kutosha isipokuwa tatizo lipo kwenye ufanisi wa utendaji kazi wake.

Wagonjwa wa aina hii ya kisukari hawahitaji kupewa insulin kwa njia ya sindano. NNon66 maana aina hii hujulikana pia k**a kisukari kisichotegemea insulin au Non6-Insulin Dependent Diabetes Mellitus (NIDDM)

3. Kisukari cha Ujauzito

Ni aina ya kisukari kinachotokea pindi kunapokuwa na ongezeko la kiwango cha sukari katika damu (hyperglycemia) wakati wa ujauzito.

Aina hii ya kisukari huathiri karibu asilimia 2-5 ya wanawake wajawazit, ingawa wengi wao hupata nafuu na kupona kabisa mara tu baada ya kujifungua.

Hata hivyo, karibu asilimia 20 mpaka 50 ya wanawake wajawazito wanaopata aina hii ya kisukari huweza kuendelea nacho hatimaye kuwa aina ya pili ya kisukari maishani.

Kisukari husababishwa na nini?

Visababishi vya kisukari hutofautiana kulingana na aina husika ya kisukari.

1.Visababishi vya6 aina ya kwanza ya kisukari

Aina ya kwanza ya kisukari ina uhusiano mkubwa sana na kurithi. Aidha aina hii pia husababishwa na maambukizi ya Coxsackie virus type B4.

Visababishi vingine ni pamoja na sumu inayotokana na kemikali za baadhi ya vyakula (food borne chemi6cal toxins), na kwa baadhi ya watoto wachanga maziwa ya ng’ombe yanaweza kuchochea kinga ya mwili wa mtoto kuushambulia mwili wenyewe (autoimmune reaction) na hivyo kupelekea uharibifu katika tezi kongosho.

2.Visababishi vya aina ya pili ya kisukari

Kwa ujumla aina hii ya kisukari husababishwa zaidi na mfumo wa maisha na matatizo ya kurithi. Aidha vitu k**a kuongezeka uzito na unene kupita kiasi (obesity) nayo pia huchangia kutokea kwa aina hii ya kisukari.

Sababu nyingine ni pamoja na Kuongezeka umri, maisha ya kivivu na kutofanya mazoezi (physical inactivity).

Want your school to be the top-listed School/college in Njombe?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Njombe