Chemsha BONGO
PATA HABARI MBALIMBALI MICHEZO, VICHEKESHO,VITUKO n.k
06/03/2026
KAFARA AU GHARAMA 5 ZAKULIPA ILI UWE TAJIRI π
Watu wengi wanafikiri utajiri ni bahati. Wengine wanafikiri ni kurithi. Lakini ukweli ni huu: Utajiri ni vita ya kisaikolojia ambapo silaha pekee ni kafara. Usidanganywe na picha za Instagram za watu wakiwa kwenye fukwe; hapo ni mwisho wa safari. Leo nataka nikuchane kuhusu mwanzo wa safari ule upande wa giza, jasho, na damu ambao haupigwi picha.
Umesema unatamani kuwa tajiri? Swali siyo "unatamani kiasi gani", swali ni "upo tayari kupoteza nini?"
1. KAFARA YA USINGIZI: "THE MIDNIGHT ASSASSIN
MITHALI 20: 13 π₯π₯
Wakati dunia imetulia saa nane za usiku, hapo ndipo hatima za watu zinapoandikwa. Maskini hutumia masaa hayo kuota ndoto, lakini tajiri hutumia masaa hayo kuzitengeneza ndoto. MITHALI 6: 9_ 11 π₯π₯
Gharama: Macho mekundu, uchovu wa akili, na mwili unaolalamika.
Ukweli: Huwezi kuwa tajiri kwa kufanya kazi masaa nane (8) k**a kila mtu mwingine. Lazima uibe masaa ya ziada kutoka kwenye usingizi wako. Unapokuwa macho wakati wenzako wamelala, unajipa nafasi ya kuwa mbele yao kwa hatua elfu moja. Usingizi ni anasa ambayo huna sifa ya kuipata mpaka akaunti yako itakapokuwa inazalisha pesa ukiwa umelala.
2. KAFARA YA MAHUSIANO SUMU (THE SOCIAL SURGERY) MITHALI 18: 24 π₯π₯
Hii ndiyo kafara inayoumiza zaidi. Utajiri unahitaji "upasuaji" wa marafiki.
Huwezi kukimbia marathon ukiwa umebeba magunia ya mchanga mgongoni. Marafiki wanaopenda starehe, wanaolalamika kuhusu serikali kila siku, na wanaotumia wikendi nzima kunywa pombe hao ndio magunia yako.
Gharama: Utaitwa msaliti. Utaitwa una dharau. Utaitwa "umejificha".
Ukweli: Lazima ukubali kuwa mpweke. Siri ya matajiri ni kwamba walikubali kutembea peke yao kwenye jangwa la utafutaji ili waje kukutana na matajiri wenzao kwenye kilele cha mlima. K**a marafiki zako watano ni maskini, wewe ni wa sita.
3. KAFARA YA EGO NA MUONEKANO (INCOGNITO MODE)
Dhambi kubwa ya maskini ni kutaka kuonekana tajiri kabla ya kuwa tajiri.
Unanunua simu ya milioni tatu ..... prt2
06/03/2026
So Israel and USA have being Bombing Paintings not Real Jets
IRAN HAD MOVED ITS ACTUAL JETS UNDERGROUND BEFORE THE WAR BEGAN
STUPIDS
please follow for more updates π¨π¨π¨π¨π¨π¨π€²
05/03/2026
WOTE TUJIFUNZE KWENYE KOMENTI.
Umepata Milion 1. Utafanyia biashara gani ambayo unaona itakutoa, utatengeneza faida kubwa. Na unao uwezo wa kutengeneza faida ya milioni nyingine kwa muda mfupi.
WENGINE TUJIFUNZE KWENYE KOMENTI.
Yawezekana ukiandika vizuri wazo ulilonalo, kuna wengine wanahiyo hela watahitaji kuja kuwekeza kwenye wazo lako. Au wanaweza kukutafta mkafanya biashara, hasa kwa tuliopo Tanzania, nikiwemo mimi pia.
05/03/2026
Kweli jinsi anavyotakaπππππ
Unauza nini na uko wapi
Namba ya simu usisahau kuweka
05/03/2026
MICHEZO; Baada ya dabi kali kati ya Simba SC na Young Africans SC, nyota wa Simba Innocent Loemba ameonyesha moyo wa sportsmanship kupitia Insta Story yake.
Loemba amemuomba radhi beki wa Yanga Dickson Job kufuatia tukio lililotokea wakati wa mchezo huo. Kupitia ujumbe wake aliandika: βI compatible with you ππβ, ujumbe unaoweza kufasiriwa kwa Kiswahili k**a βNinakuelewa / nakuonea huruma na niko pamoja na wewe.β
Kitendo hicho kinaonyesha heshima na utu kati ya wachezaji licha ya ushindani mkali uliopo kati ya Simba na Yanga. Mashabiki wengi wamepongeza hatua hiyo ya Loemba kuonyesha upendo na kujali mchezaji mwenzake baada ya tukio hilo uwanjani.
SIKU YA KWANZA KUFANYA MAPENZI ULIKUA NA UMRI GANIπ
05/03/2026
Toooop πΌπΌπΌπΌ scoreπ¨π¨π¨π¨π¨
05/03/2026
Nauza smart phone used bei 260000 alie siliaz aje inbox π₯π₯π₯π₯
Listen πππππ
05/03/2026
Hapa ungepata maks ngapi sema k**a nakuona πππππ
HIVI KWANINI UTURUKI HASHAMBULIWI NA IRAN LICHA YA KUWA UTURUKI KUNA KAMBI ZA KIMAREKAN PALEπ€π€
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |