Hassan Issa MEDIA

Hassan Issa MEDIA

Share

Quit up laziness. Education is an endless arena

Donate to Help Sofia Shabani's Sons: Transport, Liver Cancer Treatment, organized by Seif Khalfan 18/01/2025

Hello everyone, I started a fundraiser on GoFundMe and would appreciate your support. Every single share and donation makes a difference and helps me get closer to my goal.

Donate to Help Sofia Shabani's Sons: Transport, Liver Cancer Treatment, organized by Seif Khalfan My name is Seif Khalfan from the UK. I am raising mone… Seif Khalfan needs your support for Help Sofia Shabani's Sons: Transport, Liver Cancer Treatment

14/04/2023
19/01/2023

HOTUBA YA MWISHO ALIYOIANDIKA QADAFFI
QADAFFI ANAANZA HIVI:
"Kwa jina la Mwenyezi Mungu (Allah), Mungu mpaji, na mwenye rehema....
Kwa miaka takribani 40 ama ilikuwa zaidi sikumbuki. Nachokumbuka ni kuwa nilifanya kila nilichoweza kuwapa watu wangu nyumba, hospitali na shule. Na kila walipohisi njaa niliwapa chakula. Niliifanya Benghazi kutoka jangwa kuwa ardhi nzuri ya kilimo.
Nilisimama imara dhidi ya Ronald Regan (Rais wa zamani wa Marekani), alipomuua binti yangu niliyemuasili. Alikua anajaribu kuniua mimi lakini akamuua yule binti yatima masikini. Niliwasaidia kaka na dada zangu waafrika fedha kupitia AU.
Nilifanya kila nililoweza kuwafanya watu wangu waelewe maana halisi ya demokrasia; ambapo watu wa tabaka la chini niliwapa madaraka.
Lakini hawakuridhika. Hata aliyekuwa na nyumba ya vyumba kumi, nguo mpya, na fanicha nzuri, hakuridhika. Alihitaji zaidi.
Kwa jinsi walivyokuwa wabinafsi walihitaji zaidi. Hivyo wakawaambia Marekani kuwa wanataka "demokrasia" na "uhuru". Hawakujua kuwa "demokrasia" waliyoitaka ilikua ni mfumo wa unyonyaji ambapo mbwa mwenye nguvu zaidi huwala mbwa wadogo.
Walikua hawasikii wala hawaoni. Walitaka "demokrasia". Wakasahau kuwa hata Marekani hakukuwa na huduma za afya za bure, dawa bure, elimu bure na chakula cha bure. (Huduma hizi za bure zilipatikana Libya tu).
Nchini Marekani mtu masikini/fukara hana cha bure. Labda awe ombaomba au avuje jasho kuhemea.
Haikujalisha nilifanya kwa kiasi gani bado hawakuridhika. Lakini wapo waliojua mimi ni mtoto wa Gamal Abdel Nasser, mwarabu pekee halisi na kiongozi wa kiislamu tuliyewahi kuwa nae tangu enzi za Salah-al-Deen.
Wakati Nasser anapigania mfereji wa Suez kwa watu wake nami nilikua naipigania Libya kwa watu wangu. Nilikua najaribu kufuata nyayo zake ili kuwaweka watu wangu huru kutoka kwenye makucha ya wakoloni wanaotuibia.
Lakini kwa sasa niko mateka katikati ya majeshi makubwa ya dunia katika historia. Mwanangu mpendwa mwenye asili ya Afrika, Obama anataka kuniua.
Ili achukue uhuru wet

Photos from Hassan Issa MEDIA's post 12/01/2023

This collection of pictures shows how the European colonizers undermined Africans especially Congolese people by then.

07/01/2023

Life becomes nothing when you loose your character.

21/11/2022

Picha ni Mjukuu wa Muammar Gaddafi akiwa amevaa K**a babu yake, Na picha hiyo ilipostiwa kwenye mitandao ya kijamii na mama yake ambaye ni binti ya Muammar Gaddafi.

Source: ST communication

15/10/2022

πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―

13/10/2022

CAPE PENDULINE TIT Ndege anayetengeneza kiota chenye vyumba viwili ili kuwachanganya nyoka.Tundu kubwa la kuingilia chumba cha kwanza ambacho ni cha uongo(false chamber) lipo chini na juu yake Kuna tundu la kuingilia kwenye chumba anachotagia mayai ambacho kina tundu dogo Sana.Hapa kwa haraka nyoka akifika lazima azame kwenye tundu kubwa na akiona hakuna kitu akaondoka huku akiwa amemuacha ndege kwenye chumba cha pili.Cape Penduline anapatikana Angola,Botswana,Zimbabwe, Namibia na Afrika Kusini,Ndege huyu ana urefu wa sentimita 8 na moja ya aina ya ndege wadogo wanao patikana Afrika.

Want your school to be the top-listed School/college in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Ilemera
Mwanza