BINA TV
BINA TV Is a media for bring up break news around the world including Tanzania, Kindly Join with us for more updates. Stay tune.
Its in a none political and religious ethics, is all about news around the world
Msanii wa Bongo Fleva kijana mdogo ameachia wimbo wakumpongeza Mama na sema kwakweli haka kangoma kakali sana
Baada ya kuulizwa swali kugusu mama anjela alishindwa kujizuia na kudondoka chini baada ya kukumbuka yale anayofanyiwa na mzazi mwenzie
mtengeneza maudhui ya mitandaoni amefungua kuwa yeye ni mswahili na hahitaji kundi la watu ili kuja kumkabili na kusema kuwa yeye pia anamuweza
kuikuwa na kurushiana maneno kati ya na wakimgombania leo mama anjela alitoaka mbagala mpaka kariakoo kumfata fay momo na yeye inasemekana kawakimbi
kuikuwa na kurushiana maneno kati ya na wakimgombania leo mama anjela alitoaka mbagala mpaka kariakoo kumfata fay momo na yeye inasemekana kawakimbia
14/06/2026
simba sc wamefanikiwa kuonesha ukubwa wao mbele ya pamba jiji kwa kuibuka na ushindi wa 2:1
Miaka hamsini ya nyuma huwezi kuvaa viatu k**a hivi
------------------------------------------ Sponsored by
< Dji osmo pocket 2
< Dji osmo pocket 3
< DJI osmo pocket 4
Na aina mbali mbali za simu kwa bei nafuu kabisa lakini pia wale watumiajia wa simu hawajawaacha nyuma simu zipo kibao kwa Bei nafuu kabisa 🔥🔥
Location ni ..Citymall Opp maisha supermarket na Samora Opp Nhchouse
Kwa mawasiliano wapigie
📲0774169390
📲0656242156
BEI NI K**A BURE
14/06/2026
pamba jiji hawataki kuonyesha unyonge kabisa mbele ya simba
dakika ishirini tu zimetosha kusawazisha
Kundi la muziki wa Hip Hop nchini WABETI limetambulisha rasmi wimbo wao mpya unaoitwa “Kausha”, wimbo uliowashirikisha nguli wa Hip Hop Tanzania Juma Nature, P Mawenge, pamoja na Skwiza.
Wimbo huo kwa sasa unapatikana kwenye majukwaa yote ya kidijitali ya kusikiliza muziki, ukiwa umebeba ujumbe mzito unaogusa maisha ya kila siku. Wakizungumza na waandishi wa habari, WABETI wamewataka mashabiki na wadau wa muziki kuusikiliza kwa makini ili kupata maudhui na ujumbe walioukusudia.
Kwa upande wake, Juma Nature amelipongeza kundi hilo kwa nidhamu, kujituma na uelewa wao mkubwa wa muziki wa Hip Hop. Amesema sifa hizo ndizo zilizomshawishi kukubali kushiriki kwenye wimbo huo, akieleza kuwa anaamini WABETI wana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye tasnia ya muziki.
Ni msanii gani ulukuwa unaelewa zaida ngoma zake kati ya hawa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwanza
NONE