Kili new tv
News
Updated news ⌚️
Mambo yameanza kua magumu
Idadi ya vifo vya raia nchini Israel yazidi kuongezeka kupitia mashambulizi anayoyafanya Iran katika taifa la Israel.
Viongozi wa juu wa Israel wamepiga marufuku kutangaza au kupiga picha mashambulizi anayoyafanya ndani ya Israel.
Lakini tukumbuke Iran alitangaza akasema vita hii ni ya mwisho na katika vita hii nani ataonekana ni mbabe na nani ataonekana ananguvu ndani ya middle east.
Iran amesema hatoacha vita mpaka hahakikishe Israel ameimaliza kabisa.
: Moja ya tukio kubwa katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo ni goli lililofungwa na Selemani Mwalimu kisha Mwamuzi msaidizi Kassim Mpanga kunyoosha kibendera kuashiria Mwalimu alikuwa oneo la kuotea (Offside)
Ipi ni tafsiri yako katika tukio hilo, goli au siyo goli (Offside?
FT: Yanga 0-0 Simba
Kikosi kazi cha leo dhidi ya Simba SC
01/03/2026
“Leo hii tunakosa kitu kinachoitwa Umma wa Kiislamu kuna nchi nyingi za Kiislamu duniani tupo zaidi ya Waislamu billion mbili duniani lakini neno UMMA halifanyi kazi kwetu kwasababu hatujaungana, neno UMMA hutokana na Watu walioungana na kuelekea njia moja kwa lengo moja, sisi Waislamu hatupo hivyo tumegawanyika na hiyo ndio inasababisha tukaribishe Maadui wengi sana hadi baadhi ya nchi za Kiislamu zinapambana kuungana na Marekani ili wapate msaada”
- Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran (Desemba, 2025)
Toa maoni yako
Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara, maarufu k**a "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo.
Katika taarifa yake aliyoitoa kwa umma 18 Februari 2026, Bwege ameeleza kuwa uamuzi huo umetokana na hiyari yake mwenyewe k**a mtu huru, baada ya kutafakari kwa muda mrefu na kugundua kuwa ACT Wazalendo si "rafiki sahihi" katika safari yake ya kisiasa k**a alivyokuwa amefikiria awali.
“ACT Wazalendo si rafiki sahihi kwangu, nilivyofikiria ni tofauti na nilivyohisi. Kuanzia sasa mimi si mwanachama wa ACT Wazalendo tena kuanzia tarehe 18/2/2026. Mengine nitaongea baadaye. Ninategemea kushirikiana na kulitumia jukwaa la CHADEMA katika siasa za kudai demokrasia na maendeleo la taifa langu nilipendalo-Tanzania”, ameandika Bwege. news tv
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Moshi
5889