Resp-Graphic
hi
"Usiogope kuanza kidogo, bali ogopa kubaki pale pale."
"Biashara ndogo leo inaweza kuwa empire kesho."
"Usiishi kwa kulinganisha, kila mtu ana safari yake."
"Tabasamu ni dawa ya moyo, tumia bila kipimo."
"Usikate tamaa, hata maua huchanua baada ya dhoruba."
🌞 "Kila siku mpya ni nafasi mpya ya kung’aa."
"Maisha mazuri siyo kuwa na kila kitu, bali kuthamini kile ulicho nacho."
✨ "Maisha ni safari, kila hatua ni somo jipya."
Wakati mwingine maumivu ni daraja la kutupeleka kwenye furaha kubwa zaidi. Jipe moyo, kesho daima ni bora kuliko leo.”
“Kila jaribu lina mwisho, na kila maumivu yana tiba. Usikate tamaa, kwa kuwa Mungu yupo nawe katika kila hatua.
“Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.” (Zaburi 46:1)
“Shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” (1 Wathesalonike 5:18)
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dodoma