DaudiPages

DaudiPages

Share

Helping you to become published author!.

Start Here - Helping you to become a published author! 16/05/2024

Napenda mno kuwasaidia wale wanaopenda kuingia kwenye uandishi wa vitabu.

Sitakufundisha pekee, nitakupa na mentorship ya bure kabisa.

Fahamu zaidi jinsi ninavyoweza kukusaidia hapa https://daudipages.mailerpage.io/

Kwa maswali na msaada zaidi unaweza kuweka appointment ya kuzungumza na mimi kupitia link hii https://daudipages.setmore.com/

Start Here - Helping you to become a published author! A blog dedicated to helping you to become a published author. DaudiPages was created to equip you with the skills you need to succeed. Book industry is evolving every day, so my books and courses will help to keep you ahead.

24/04/2024

Mada: Makosa saba (7) ya kuepuka unapoanza kuandika kitabu

Bonus: Utapewa kitabu cha Mbinu rahisi za kuandika kitabu bure. Utapata punguzo la 30% kwenye kozi za uandishi na vitabu vyangu vingine. Utapata mentorship yangu bure

Note: Hii ni paid training. Kuhusu ada yake na mambo mengine nitayasema kwenye group ambalo nitatolea mafunzo

Kwa sasa jisajili hapa [Link one] https://rebrand.ly/zgk0jt8 au [Link two]
https://rebrand.ly/jmmso5z

Utakuwa wa kwanza kujisajili leo?

30/03/2024

Client feedback | DL hakika nashukuru sana kwa kazi nzuri. Nimefurahi sana, mnafanya kazi nzuri, kwa bei nafuu na kwa wakati....- Rev. Petro Lembalai

Read 65+ reviews here https://bit.ly/3nYBy4X

30/03/2024

Ilikuwa juzi tu kwenye group la DL Sellers. Ilianza k**a utani tu baada ya kupokea report yangu ya mauzo ya mwezi wa tatu

Niliwaambia kwenye group, nakusudia kutoa training inayohusu mambo ambayo yanamvuta msomaji anunue kitabu ili sisi k**a authors tunapofanya marketing, juhudi zetu ziweze kuzaa matunda

Baadaye niliweka poll ya kukusanya maoni tufanye lini hiyo training, wengi wakachagua weekend.

Basi sasa,

Kesho saa mbili usiku nitakuwa nafundisha MAMBO YANAYOMVUTA MSOMAJI ANUNUE KITABU.

Mafunzo haya ni bure kwa members wa DL Sellers lakini nitakumegea megea dondoo zake kwenye Channel ya DL Bookstore. Unaweza ku subscribe hapa https://whatsapp.com/channel/0029VaDYEPF9xVJbsM8WpG2P

Asante sana.

Naitwa Daudi Lubeleje
DaudiPages - Platform for writers and authors

Stori yake imenipa funzo, sitasahau! 16/03/2024

Ilikuwa ni tarehe moja ya mwezi mwaka huu, mida ya saa saba mchana nilipokea ujumbe kwenye WhatsApp yangu kutoka kwa ndugu mmoja. Ujumbe huo ulisomeka hivi;

_“Hellow mkuu habari, pole na majukumu, Nimesoma..._

Endelea kusoma kisa hiki hapa https://www.dlbookstore.com/blog/params/post/4472751/stori-yake-imenipa-funzo-sitasahau

Share na mwingine pia

-learning #

Stori yake imenipa funzo, sitasahau! Ilikuwa ni tarehe moja ya mwezi mwaka huu, mida ya saa saba mchana nilipokea ujumbe kwenye WhatsApp yangu kutoka kwa ndugu mmoja. Ujumbe huo ulisomeka hivi; “Hellow mkuu habari, pole na majukumu

Get books - Books that will prepare you for a long career in writing, publishing and selling of your books 15/03/2024

USHUHUDA wa Martin T

Anasema,

"Nimejifunza mengi kwenye kitabu hiki hasa aina za waandishi, taratibu za uchapaji wa kitabu, aina za uhandishi na kujua ukiandika kurasa ngapi za A4 utakuwa tayari umeandika kitabu chako hivyo namshukuru Mwandishi wa Kitabu hiki kuna vitu vingi sana ambavyo nimejifunza toka kwenye uandishi wa kitabu hiki"

Ni baada ya kusoma kitabu cha KUTOKA KUANDIKA MPAKA KUUZA KITABU

Leo nakupa kitabu hiki na wewe usome. Nenda hapa https://daudipages.mailerpage.io/books

Scroll kwa chini utakiona.

Get books - Books that will prepare you for a long career in writing, publishing and selling of your books For almost free, get any book that you would love to read.

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Kuhusu DaudiPages

Jukwaa la makala za uandishi wa vitabu.

Category

Telephone

Address

Arusha