Update za michezo

Update za michezo

Share

Public figure

18/01/2026

MOROCCO HAMNA TIM ZAIDI YA KUBEBWA....WAMEBEBWA NA HAWABEBEKI MBELE WA MIAMBA HII YA SENEGAL
🤣🤣🤣
MLITOA TANZANIA KWA FIGISU LEO ZIMEWARUDIA
...
WADAU HII VP...
HAWA JAMAA WALIINGIAGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA WAKASEMA WAO SIO WAAFRICA
WAO NI WARABU
SASA LEO AFRICA IMESHINDA....

18/01/2026

Champiiooooons....Senegal....

18/01/2026

MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA KWA SENEGAL
PUMBAAFFF...😂HAWA NDO LIONS OF TERANGA

14/01/2026

UKISIKIA WAMEBANA WAMEACHIA NDO HII YA MISRI

14/01/2026

ASEE SENEGAL WANAJUA SOKA WAZEE ..
TOUCH HAZIPOTEI NA HAWAOGOPI ...
KILA MCHEZAJI ANA UWEZO WA KUACHA WAWILI NA AKAONDOKA ..
HII SIO KIKOSI NI MKOSI🔥🔥🔥🔥🤣😃😃😃

14/01/2026

HAWA SENEGAL WAMETUMWA KAZI....
MOROCCO NJOONI NA REFA WENU HAPA HAMTOBOI
HAWA MAJAMAA WANA PUMZI YA MOTO 🔥 🔥

10/01/2026

YANGA SC YATAFUTA MWEKEZAJI KIMKAKATI KWA UJENZI WA UWANJA MPYA DAR ES SALAAM.

Klabu ya Michezo ya Young Africans (YANGA SC) imetangaza rasmi mwito kwa wawekezaji na wabia wa kimkakati kuonesha nia ya kushiriki katika mradi mkubwa wa ujenzi wa uwanja mpya wa kisasa pamoja na miundombinu yake, utakaotekelezwa katika eneo la Jangwani/Twiga Street (zamani Uwanja wa Kaunda), jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Yanga inalenga kuingia ubia wa muda mrefu na mwekezaji atakayefadhili na kugharamia ujenzi wa uwanja pamoja na miundombinu shirikishi itakayohusiana na mradi huo.

Klabu imeeleza kuwa iko tayari kupokea na kutathmini miundo mbalimbali ya ushirikiano ikiwemo haki za jina la uwanja (naming rights), ufadhili unaoendeshwa kwa mfumo wa udhamini, pamoja na mipango ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP) au mfumo wa kubuni–kujenga–kufadhili–kuendesha (DBFO).

Uwanja unaopangwa kujengwa unatarajiwa kuwa wa kisasa na kufikia viwango vya FIFA na CAF, ukiwa na uwezo wa kuingiza mashabiki kati ya 25,000 hadi 35,000. Aidha, utawekewa nyasi za mchanganyiko (hybrid pitch), mifumo ya kisasa ya mifereji ya maji na umwagiliaji, taa za kisasa kwa matangazo ya televisheni, pamoja na maeneo maalum ya VIP, vyombo vya habari, usalama na udhibiti wa watazamaji.

Mbali na uwanja wenyewe, mradi huo pia utahusisha miundombinu ya ziada ikiwemo maegesho ya magari, barabara za kufikia, maeneo ya huduma kwa mashabiki, pamoja na kazi za mazingira ya nje. Klabu imesisitiza kuwa mradi huu ni sehemu ya mkakati mpana wa kuimarisha miundombinu yake na kuongeza vyanzo vya mapato ya muda mrefu.

YANGA SC imeweka tarehe ya mwisho ya kupokea barua za kuonesha nia kuwa ni 23 Januari 2026 saa 10:00 jioni, ambapo waombaji wanatakiwa kuwasilisha nyaraka zao kwa njia ya barua pepe pekee. Klabu imehifadhi haki ya kukubali au kukataa maombi yoyote bila kuwajibika kutoa sababu.

Hatua hii inaonesha dhamira ya dhati ya Yanga SC kujenga makao yake ya kudumu na ya kisasa, sambamba na kukuza hadhi ya klabu kitaifa na kimataifa, huku ikiweka msingi imara wa maendeleo ya soka la kulipwa nchini Tanzania.

FOLLOW PAGE YETU UPDATE ZA MICHEZO

05/01/2026

Wow...just wow....hii nimeipenda...
Mdau unasemaje...

04/01/2026

Tuwe makin maana Hawa mix by yas naona mnatuibia mb live live ..yan umewasha data hakuna underground program ila mb zinasoma k**a sekunde za saa..

04/01/2026

AFRICAN SOCCER WILL NEVER ADVANCE BY THIS KIND OF REFEREES..
CLEAR PENALTY NO NEED OF VAR BUT THE MAN DENIDED AND REFUSED TO GO FOR CHECK...
IT SHOW HOW THE BRIBERY IS TAKING PLACE IN THE MATCH..
MAY BE TRAORE PLACED A BETSLIP FOR MOROCCO TO WIN OR THE MONEY WAS ALREADY DEPOSITED IN HIS ACCOUNT...

CONGRATULATIONS FOR TANZANIA...YOU HAVE SHOWN A GOOD SOCCER...
WELCOME TO TANZANIA BUBU TRAORE...
WE WANT TO SEE YOU FOR PRIVATE TALK SO AS WE CAN SHARE THE MONEY YOU RECEIVED TO MAKE SURE WE ARE LOOSING THE MATCH
Young Africans Sports Club TotalEnergies CAF Champions League & Confederation Cup
Tanzania Football Federation
Micky Jnr African Football Journalist

02/01/2026

HUYU Young Africans Sports Club SIO LEVEL YAKE...
IMEMSHINDA KABISA...

30/12/2025

Alichoandika Ahmed ally "KILA LA HERI NYUMA MWIKO KWENYE MCHEZO WENU DHIDI YA TUNISIA"

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Usa River
Arusha