Bongo24/7.Com

Bongo24/7.Com

Share

public

12/04/2026

K**a Simba SC ni mbovu sababu ni wale mashabiki wanajifanya wafia timu. Wakati wanaendelea kwenda uwanjani wanawapa moyo viongozi kwa matokeao mabaya. Ni vizuri kuonesha kutoridhishwa Kwa kususia kwenda uwanjani ili kuwapa viongozi presha ya kuboresha timu kuwaadhibu wazembe ndani ya timu na kuwatoa wasaliti miongoni mwao.

09/04/2026

K**a Kuna Mtu Bado anafikiria Simba ni timu ya mpira basi ni punguani.

09/04/2026

🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬

07/04/2026

Tunataka kuona hatua sikichukuliwa sio maneno tu. Sisi mashabiki hatuoni faida ya maneno zaidi ya hatua. Tunataka kuona klabu ya Simba SC ikisusia michezo zote ya ligi kuu, kupeleka malalamuko na ushahidi ya hujuma dhidi yake TFF na ikishindikana TFF CAS ipo. Tushachoka na busara na kiongozi yeyote anaepinga hili ajitoe tumchague mwingine.

06/04/2026

Simba SC k**a hamuezi kujipambania Kwa marefa sisi mashabiki tutawapa pole na kususia mechi zenu ili msije kusema tunawapa hasara Kwa kufanya furugu Kwa waamuzi. Muda mwingine tatizo likizidi mnaacha kutumia busara ili kosa lirekebishwe. Hatuoni faida ya picha za Azam tv za marejeo. Hatuoni faida ya wazaidizi wa refarii au hata refarii mwenyewe. Sisi mashabiki tutawapa lawama zote maana mnaangalia mifuko zenu huku tukikosa furaha ya kushabikia timu hii. Hakuna tunachonufaika Kwa timu hii k**a hakuna ushindi wa makombe au ushindi kwenye mechi kubwa k**a hizi Darby. hakuna haja ya kujitahidi mwisho wa siku unadhulumiwa tena mara kibao alafu unaendelea kusema ipo siku, tutafanya hivi au hatufanya vile. K**a hamna maamuzi ya umoja kwenye club basi mtaonekana hamna maana. Hatujamuona mwenyekiti wa klabu akionesha kutopendezwa na na maamuzi hayo. Hatumuoni MO akisikitikia matendo hayo Wala hata klabu wakionesha matukio yasio mazuri ya marefa. Wanatuachia sisi mashabiki kupost na kulalamika Cha ajabu wao wanatiana moyo kwamba hamna shida, wao wanaendelea kufuga ubaya wakidhani siku Moja watajibiwa Kwa haki. Ni jazba kubwa na fedheha Kwa mashabiki, tunaitaji viongozi wa kuhoji na kutaka shuluhisho.

05/04/2026

Simba Bado ya kinyonge mno, Bado Simba ni WA kunyanyazwa tu.

30/03/2026

Mpaka mwisho wa awamu mambo yatakua moto

22/03/2026

Kila kitu kina mwisho wake na madhara ya kupanda mbegu mbovu ni kufunga hasara.
Waamuzi wetu wamekuwa wakipewa maelekezo na wakati mwingine wamekuwa wakitishiwa nje ya uwanja sasa wameamua kufanya hivyo ndani ya uwanja.

Photos from Bongo24/7.Com's post 21/03/2026

HUYU NDIO KIBURI YA MOROCCO

FAOUZI LEKJAA yeye ni
✅️Makamu wa Rais CAF
✅️Mwenyekiti wa Fedha CAF
✅️Waziri wa Fedha Morocco 🇲🇦
✅️Mjumbe wa k**ati ya CAF
✅️Rais wa Shirikisho Morocco 🇲🇦 (BOTOLA PRO)
✅️Mjumbe wa FIFA

Aliwanyonga kimakusudi SIMBA SC sasa ni SIMBA wa Telanga (Senegal 🇸🇳)

HUYU FAOUZI LEKJAA ANATAKIWA KUACHIA NGAZI ZOTE ZA CAF

20/03/2026

From today I will not support any of CAF division or game. It's true their corrupt and this reminded me of Simba SC match against Moroccan team RS Berkane, we all so what happened.

19/03/2026

Itakuwa maajabu taifa lolote kushiriki michuano haya. Tanzania yafaa kuwa ya kwanza kuwaunga mikono Senegal I kutoshiriki michuano haya.

Photos from Bongo24/7.Com's post 01/03/2026

Hapo wale viongozi wa Simba hawatafanya lolote zaidi ya kuja kutuambia tunadhulumiwa. Simba ni timu ya kinyonge watapiga kimya.

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Arusha