Vibes Code TV

Vibes Code TV

Share

Bidi Badu TV presents all the news you ought to get with unimaginable expectations and a series of p

ALICHOKISEMA OMMY DIMPOZ KUHUSU YANAYOENDELEA MITANDAONI KMUHUSU YEYE NA BABA YAKE MZAZI 15/09/2022

https://youtu.be/as5PAOvyA2w

ALICHOKISEMA OMMY DIMPOZ KUHUSU YANAYOENDELEA MITANDAONI KMUHUSU YEYE NA BABA YAKE MZAZI Vibes Code Tv Presents all the news you ought to get with unimaginable expectations and a series of programs worth mind provoking to tension capturing. Vibes...

27/02/2022

Wakati mzozo wa Ukraine na Urusi ukiendelea kushika kasi, Korea Kaskazini imerusha kombora linalodhaniwa kuwa la masafa marefu kuelekea Baharini katika muendelezo wa majaribio yake ya silaha.

Majaribio hayo ni ya nane kwa mwaka huu pekee huku baadhi ya Watalaamu wakisema kwamba Korea Kaskazini inajaribu kukamilisha teknolojia yake ya silaha na kuishinikiza Marekani kutoa makubaliano k**a vile kuiondolea vikwazo.

Wakuu wa vikosi vyote vya majeshi nchini Korea Kusini, wamethibitisha juu ya Korea Kaskazini kurusha makombora lakini hawakutoa maelezo zaidi, bado Korea Kaskazini haijato kauli kuhusu mzozo wa Ukraine na Urusi.

Kwa hisani ya

Digodon_ Somo [Official Music Video] 25/05/2021

Kindly watch this video please!!

Digodon_ Somo [Official Music Video] Produced by ze MimiStudio Mapigo music

HII HAPA BAISKELI YA KWANZA DUNIANI / ALIYETENGENEZA ZAIDI YA MIAKA 200 ILIYOPITA. 06/05/2021

https://youtu.be/XsQ4EJPvcIU

HII HAPA BAISKELI YA KWANZA DUNIANI / ALIYETENGENEZA ZAIDI YA MIAKA 200 ILIYOPITA. Bidibadu Tv Presents all the news you ought to get with unimaginable expectations and a series of programs worth mind provoking to tension capturing. Bidibad...

01/05/2021
15/01/2021

AWALI UJUMBE WA MUWAKILISHI WA WANAWAKE KWALE Zuleikha Juma Hassan KWA M'BUNGE WA MSAMBWENI Hon. Feisal Abdallah Bader

Mheshimiwa Feisal Bader toka aapishwe, jana ndio alianza rasmi kutembelea mawaziri kwa niaba ya wanachi wa Msambweni.

Katika mawaziri wote humu nchini, walio katika sekta mbali mbali, aliamua kumtembelea waziri wa MADINI, Hon John Munyes.

Kulingana na waziri Munyes na niyyah zake na vitendo vyake alivyo onyesha kabla ya kura za juzi za Msambweni, na kulingana na wale viongozi wote walio muunga Feisal Bader mkono katika azma yake ya kuwa mbunge wa Msambweni,na tunavyo wafahamu, hili jambo sio la maajabu. Bila shaka viongozi hao walikuwa wanatafuta mtu wa kumtuma kufanya watakayo wao na sio watakayo wananchi wa Msambweni, kwa mkutano huo wa jana ni dhahiri kuwa wame faulu kwa hilo.

CDA walio enda kuizungumzia ni pesa za wananchi wa Msambweni aina mbili:

1. Walio furushwa kutoka ardhi zao ili kuchimbwe madini na

2. Wanao ishi karibu na sehemu inayo chimbwa madini (kwa sababu wana athirika na vumbi au kelele au changamoto zengine za uchimbaji).

Kwa hesabu zilizoko, toka mwaka 2016 sheria ya Mining Act ilipo pitishwa, fedha hizi kufikia sasa, ni shilingi baina ya shilingi bilioni moja nukta mbili hadi bilioni mbili nukta nne (1,200,000,000 hadi 2,400,000,000) au milioni elfu moja na mia mbili hadi milioni elfu mbili na mia nne.

Waziri wa madini alipeleka kanuni (regulations) za usimamizi na utumizi wa pesa hizi, mwezi Juni 2017, akijua kuwa wabunge hawato kuwa na muda waku kagua na kujadili kanuni hizo kwa vile walikuwa kwenye campaign. Basi baada ya siku 60 hivi, k**a kanuni hazija jadiliwa na wabunge, huwa zina pitishwa kisheria bila pingamizi. Kuonyesha wazi niyyah yao ilikua zipite kanuni hizo bila kuchambuliwa na wabunge.

Hizo kanuni ni mbaya kwa sababu ya kumpokonya nguvu mwananchi wa kawaida muathiriwa wa madini na kuwa viongozi kipao mbele - jambo ambalo ni kinyume na niyyah ya Mining Act (2016).

Waziri Munyes, licha ya mimi kumu andikia barua aregeshe nguvu kwa muathiriwa kuliko viongozi katika hizo kanuni, alikataa kwa sababu hajani jibu barua yangu mpaka leo.

Pia mwaka jana mwezi wa pili alitangaza rasmi wana k**ati wa CDA. Hapi ndani kuna mbunge, gavana na MCA. Pia k**ati hiyo haiku chaguliwa na waathiriwa wote k**a ilivyi andikwa ndani ya kanuni. Wanak**ati wengine walichaguliwa na watu wachache, wengi wao ambao hata sio waathiriwa.

Laku sikitisha zaidi katika k**ati mbili za Kwale County za CDA (Msambweni na Lunga Lunga), Governor Salim Mvurya na bibi yake wamo humo ndani, na hilo ni jambo hali ruhusiwi katika sheria zetu za Kenya, kuwa mtu na mke wake wote wawili wawe ndani ya k**ati moja ya kiserekali.

Kumalizia nataka kusema haya:

1. Namuomba Allah atupe sisi tunao taka haki kwa waathiriwa wa madini, uwezo wa kupata haki hizo na atulinde na maovu yote yanayo pangwa kuendelea kugandamiza waathiriwa ndani ya umaskini. Amin.

2. Namuomba Hon Feisal Bader, asisikize anavyo tumwa na viongozi wengine vile watakavyo wao afanywe k**a kijakazi ama mtumwa wao kufanya mambo ya dhulma. Akifanya hivyo ajue hukumu ya Mwenyezi Mungu ina msubiri pia yeye hapa duniani na akhera pia. Kila anachofanya ahakikishe siku ya kiama anaweza kusimama mbele ya Allah bila wasi wasi akijua aliyo yafanya yote k**a mbunge yalikuwa ya kheri na sio ya shari.

Alaisallahu biahkamil hakimin (Kwani Allah sio muadilifu kuliko mahakimu wote?) - Quraan 95:8

15/01/2021

MAJIBU YA M'BUNGE WA MSAMBWENI Hon. Feisal Abdallah Bader KWA MUWAKILISHI WA WANAWAKE KWALE Zuleikha Juma Hassan


STATEMENT IN RESPONSE TO THE ALLEGATIONS BY THE KWALE COUNTY WOMEN REPRESENTATIVE

This statement is written in response to a social media post made by the Kwale County Women Rep via her page "Zuleikha Hassan Juma" containing malicious and misconceived allegations with the intention to deceive the members of the public and moreso the residents of Msambweni Constituency regarding my meeting with the Cabinet Secretary for Mining and Petroleum Hon. John Munyes yesterday.

First and foremost, issues regarding mining are well outlined in the Mining Act 2016, the formation of CDACs is within the law, the membership of the CDACs is within the Law, the Mining Act does not only apply to Kwale County, it applies to any mining activities within the territory of the Republic of Kenya. According to the Law, as contained in the Mining Act, the membership of the CDAC comprises the area Governor, the area MP, the area MCA, Youth Representatives, Representation of persons with Disabilities among others. The Women Representative's Deputy Party Leader (ODM) who is also the Mombasa County Governor H.E Hassan Ali Joho is a member of the Base Titanium CDAC. I had a meeting with the CS for Mining in my capacity as the area MP for Msambweni Constituency given that there are general community concerns regarding the mining activities by Base Titanium.

There are general concerns regarding compensation of residents, the community development issues resulting from mining activities and the effects of mining activities on the people around the areas where mining takes place, including health and environmental concerns, which formed part of our discussion with the CS.

It is therefore unfortunate that our beloved Women Representative who was elected across the County to represent the issues affecting the people can manufacture imaginations and spread malice all in the name of scoring Political points.

In my view, it is more important that we as elected leaders come together and engage, share ideas and work together for the common good of our people. It is important that we not only speak but also learn from each other as leaders. There comes a time when it more prudent to put aside our political differences and work for the common good. It would be be for the common good that the very able women representative joins hands with the county leadership in solving the issues affecting our people, it is more important that we focus on delivering our promises to the people and building a better and stronger community economic-wise and socially than spend time showing our political differences.

I therefore wish to invite the Kwale County Women Representative to a more sober and constructive conversation on how we can better the lives of our people.
Msambweni and Kwale at large needs leadership that is focused on service delivery to the people. If we are united as leaders we will go far, but if all we do is keep on exchanging political blows with unsubstantiated allegations, we will be letting our people down. IT IS TIME TO WORK FOR OUR PEOPLE.

Want your business to be the top-listed Furniture Store in Ukunda?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address

Diani Beach Road
Ukunda