Chesegem S.D.A - Eldoret
We are a dedicated and passionate team singing to the Lord sweet melodies and passing His message to societies with the intent to instill PL&U in and beyond.
Happy sabbath....
Big shout out to my newest top fans! 💎 ClaireLee Lagat, Lilian Ewoi, Calvine Kapngetauz, Fadhila Manyah, Kennedy Anzy, Ebby Kosgei, Vickline Barno, Allan Kosgei
Drop a comment to welcome them to our community,
Mwumbaji, Mfalme,
Vitu vyote vyako;
Ni kwa ukarimu wako
Ninabarikiwa,
Ni kwa ukarimu wako
Ninabarikiwa.
2.
Uliyeniumba,Nakutegemea;
Sina budi kuzisifu
Hisani zako kuu,
Sina budi kuzisifu
Hisani zako kuu.
3.
Nitatoa nini?
Kwanza vyote vyako.
Upendo wako wadai
Moyo wa shukrani,
Upendo wako wadai
Moyo wa shukrani.
4.
Nipewe neema,Niwe na uwezo
Wa kuishi kwako, Bwana:
Siku zangu, zako,
Wa kuishi kwako, Bwana:
Siku zangu zako.
Happy sabbath to all
07/06/2025
Let's give for Makambi and support to build God's Churches.
1 Mambo ya Nyakati 29 : 11
Ee Bwana, ukuu ni wako, na uweza, na utukufu, na kushinda, na enzi; maana vitu vyote vilivyo mbinguni na duniani ni vyako; ufalme ni wako, Ee Bwana, nawe umetukuzwa, u mkuu juu ya vitu vyote.
1 Mambo ya Nyakati 29 : 12
Utajiri na heshima hutoka kwako wewe, nawe watawala juu ya vyote; na mkononi mwako mna uweza na nguvu; tena mkononi mwako mna kuwatukuza na kuwawezesha wote.
1 Mambo ya Nyakati 29 : 16
Ee Bwana, Mungu wetu, akiba hii yote tuliyoiweka, ili tukujengee nyumba kwa ajili ya jina lako takatifu, yatoka yote mkononi mwako, na yote ni yako wewe.
1 Mambo ya Nyakati 29 : 17
Nami najua, Mungu wangu, ya kuwa wewe wajaribu moyo, nawe wapendezwa na unyofu. Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa haya yote kwa hiari yangu mwenyewe; nami sasa nimeona kwa furaha watu wako, waliopo hapa, wakikutolea kwa hiari yao.
1 Mambo ya Nyakati 29 : 18
Ee Bwana, Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Israeli, baba zetu, ulilinde jambo hili milele katika fikira za mawazo ya mioyo ya watu wako, ukaiongoze mioyo yao kwako;
Chesegem S.D.A - Eldoret
19/01/2025
A great team... doing the work of God greatly... Be blessed.
1 Wathesalonike 3 : 11-13
11 Basi Mungu mwenyewe, Baba yetu, na Bwana wetu Yesu, atuongoze njia yetu tufike kwenu.
12 Bwana na awaongeze na kuwazidisha katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, k**a vile sisi nasi tulivyo kwenu;
13 apate kuifanya imara mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu, Baba yetu, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.
Fact finding...
Pastor T...
Happy sabbath brethren... read 1st John 2:9 - 12
It was an awesome sabbath rest
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the place of worship
Website
Address
Eldoret
30100
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 22:30 |
| Tuesday | 07:00 - 22:30 |
| Wednesday | 07:00 - 22:30 |
| Thursday | 07:00 - 22:30 |
| Friday | 07:00 - 17:00 |
| Sunday | 07:00 - 21:00 |